Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Mkuu router ya aina YOYOTE tu inakubali?
Kwa njia hio ya Ethernet router yoyote yenye wan inakubali, inawezekana kuna router hazikubali ila zitakua chache sana na za kizamani.
 
Mbona hizi za airtel hazina uwo mfuko wa wan mkuu
 
Wale mnaotumia basi la blue [emoji838][emoji838] la vijana, download ZIVPN nikutumie config file. Sema speed yake ya kindezi sana thou wasap meseji unatuma na kupokea kama kawaida. In short iko slow Ila sio mbaya kwa chatting kama hivi Jf unaingia ila usitegemee kuingia YouTube upate speed ya kuridhisha.
 
Basi la blue ndio Mtandao gani?

Tigo au?

Au umetumia code ili kuwachanganya wahusika wasijue kama ni wenyewe ili wasije ku block host?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…