Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Unai
Unaipataje hii mkuu
 
Zanlink wananiambia mpaka wafanye survey kunifungia fiber..
Package yao inaanzi 118$ ni unlimited
20Mb/s..
Hapo bado installation fee.

Unguja hapa
Hawa jamaa wana bei mnoo....
Internet yao ni Dedicated ndiyo maana prices ziko juu.

World mobile nao prices zimesimama sana.....
Subiri Halotel Mkuu. Wana Home internet service ambayo itakua unlimited nayo wanadeploy mwishoni mwa mwezi huu kwa Unguja. Kwa Info zaidi utamuuliza huyu Dada
+255 621 588 623.

Sent from my SM-G998B using JamiiForums mobile app
 
Aisee Mbps 5 kwa 139K mbona kipande sana?
 
Nimepata msg ya Airtel wanauza router(sijui ni router au pocket Wi-Fi wanasema tu ni kifaa cha internet)kwa 50k na utapata bando 10GB kwa 10k(Sijajua ni kwa wiki/mwezi) hii imekaaje
Ni pocket WiFi kwa 50K unapata offer ya 20GB, baada ya hapo unakuwa unanunua 1GB kwa buku. Niliwacheki airtel shop juzi kati.
 
Kama menu hufiki ina maana hujajua ip yako. Tumia computer ingia CMD kisha type Ipconfig kujua Ip ya kuingilia menu.

Hakikisha pc imekua connected na hio wifi
@Chief-Mkwawa
MediaServerFailed kwa simu za Samsung Galaxy una limaliza vipi.
 
Aisee nimelipia Vodacom unlimited ya 120k kwa mwezi, wanakupa router ya 5G ambayo unaweza kuibeba kwenda nayo popote.Na inaconnect hadi 20+ people.Nashauri kwa anayeafford achukue hii hatojutia
Mkuu router wanakupa bure au unalipia?
 
Big thanks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…