Ngoja nikutumie screenshotNitafanya hivi pia, wadau wengi walishauri hawa ni wakwenda nao mperampera mpaka kinaeleweka
Jaribu ku download 3rd party camera, nenda playstore search camera yoyote download kisha tumia, inakupa error nayo?Chief imekataa Unfortunately,Camera has stopped.
Lengo la kuandika haya malalamiko ilikuwa ni kujua kuwa ni mfumo wa kampuni ndio wenye kusua sua katika utekelezaji wa huduma zao au ni watu wa chini ndio wanaokwamisha mchakato na uongozi haujui.Nitafanya hivi pia, wadau wengi walishauri hawa ni wakwenda nao mperampera mpaka kinaeleweka
Nimekupata vyema sana mkuu, kwa hatua hii wasipokuja kufunga itakua uhuni mkubwa sana, tuendelee kuwashambulia hawa jamaa, kongole nyingi sanaLengo la kuandika haya malalamiko ilikuwa ni ujua kuwa ni mfumo wa kampuni ndio wenye kusua sua katika utekelezaji wa huduma zao au ni watu wa chini ndio wanaokwamisha mchakato na uongozi haujui.
So nikajilipua ili kama walikuwa hawajui namna mambo yalivyo basi wajue na kama walikuwa wanajua basi lawama ziende kwa kampuni kwa kuwa na utaratibu mbovu.
View attachment 2752204
View attachment 2752208
View attachment 2752210
Baada ya kuandika hivyo nikapokea email yao ambayo ni hii hapa chini
View attachment 2752221
Baada ya kuwatumia namba ya simu wakanijibu
View attachment 2752224
Nikatumiwa email kutoka kwenye branch yao ya kusini iliyopokea maagizo kutoka HQ
View attachment 2752228
Baada ya lisaa limoja kupita nikapigiwa simu na surveyor kuwa yupo njiani anakuja maeneo nilipo.
Nikamuuliza maswali surveyor kuwa baada ya wewe kutoka hapa huduma nitarajie kuipata kwa muda gani? akaniambia mpaka wamalizane na waliowahi kabla yangu.
Hapo ndio nikashangaa, nikamuambia mimi nimeanza miaka miwili kufuatilia swala la fiber hao unaowasema wamenitangulia hata miezi 6 hawajafikisha.
Sasa kwanini mimi niliyekuwa wamwanzo niwekwe pending na watu ambao wamekuja baada yangu?
Mara surveyor alete vikwazo ambavyo havina msingi eti eneo langu lipo mbali na ilipoishia fiber hivyo kutakuwa na process ndefu kidogo kwasababu italazimika ziwekwe nguzo.
Nikamuambia mbona hilo sala unalolisema wewe lilikuwepo miaka ya nyuma na ndio sababu ya mimi kushindwa kuchukua fiber nika request Copper?
Kwasababu mwaka juzi TTCL imeingia mkataba na TANESCO kuhusu kushea nguzo ili kufanikisha usambazaji wa internet kote nchini bure inayofika kila sehemu na ndio maana mkaita faiba mlangoni kwako?
Akaniambia ndio huwa wanatumia nguzo za TANESCO ila hutegemeana na situation. Mimi sikuridhika na majibu yake ikabidi niandike email tena
View attachment 2752253
Baada ya hii email nikapokea simu kutoka kwa yule surveyor akinilaumu kwanini nimetuma email tena kulalamika vitu ambavyo tumeongea, sijui aliambiwa nini.
Nikamjibu nikamuambia isingekuwa busara kutorudisha mjesho kwa watu ambao wamekuwa msaada kwenye swala hili.
Lakini hata hivyo nilikuambia kuwa nimeambiwa niwape mrejesho so ulikuwa una taarifa kamili za hiki nilichoenda kuandika, otherwise kama kulikuwa kuna vitu hukutaka wavijue ungeniambia kuwa hiki na hiki usiseme. Na mimi ningekuuliza kwanini
Kwasababu swala la nguzo ni swala ambalo lipo nje ya uwezo wakoso malalamiko yangu kuhusu hilo jambo hayakuwa na effects yeyote kwako kwasababu wewe i mtumishi unayepokea maagizo, kama maagizo yao uliambiwa nguzo za TANESCO zipo limited basi haiwezi kuwa shida mimi kusema kuhusu hilo swala.
Hii week itayoanza kesho nakusanya nguvu week inayofata nitaanza pambana nao kinagaubagaNimekupata vyema sana mkuu, kwa hatua hii wasipokuja kufunga itakua uhuni mkubwa sana, tuendelee kuwashambulia hawa jamaa, kongole nyingi sana
Hivi juzi Ijumaa nilimcheki surveyor ambaye alisema niwe namuuliza yeye kujua wapi mchakato umefikia.Nimekupata vyema sana mkuu, kwa hatua hii wasipokuja kufunga itakua uhuni mkubwa sana, tuendelee kuwashambulia hawa jamaa, kongole nyingi sana
WAtakamilisha na hakika mkuu huduma itafika tu kwa hapo ulipofika pazuri sanaHivi juzi Ijumaa nilimcheki surveyor ambaye alisema niwe namuuliza yeye kujua wapi mchakato umefikia.
Akaniambia Jumatatu kuna mtu atakuwa anachora mchoro.
Sasa mimi hiyo Jumatatu ntamcheki nikiona ananipa majibu ya series, nitafunga safari mpaka ofisini kwao jumatano.
Nikifika huko nitaongea kila kitu ili kama dalili za ubabaishaji kutoka kwa mawakala wao wanaowatuma wajue.
Nikiona na hapo hakuna kitu wamefanya, narudi kwenye email yao kuwaandikia kila kitu.
Kwasababu hata kwenye page yao ya twitter watu wamekuwa wakilalamika ishu hii hii ya ubabaishaji.
Kazi wanayo[emoji2][emoji2]Lengo la kuandika haya malalamiko ilikuwa ni ujua kuwa ni mfumo wa kampuni ndio wenye kusua sua katika utekelezaji wa huduma zao au ni watu wa chini ndio wanaokwamisha mchakato na uongozi haujui.
So nikajilipua ili kama walikuwa hawajui namna mambo yalivyo basi wajue na kama walikuwa wanajua basi lawama ziende kwa kampuni kwa kuwa na utaratibu mbovu.
View attachment 2752204
View attachment 2752208
View attachment 2752210
Baada ya kuandika hivyo nikapokea email yao ambayo ni hii hapa chini
View attachment 2752221
Baada ya kuwatumia namba ya simu wakanijibu
View attachment 2752224
Nikatumiwa email kutoka kwenye branch yao ya kusini iliyopokea maagizo kutoka HQ
View attachment 2752228
Baada ya lisaa limoja kupita nikapigiwa simu na surveyor kuwa yupo njiani anakuja maeneo nilipo.
Nikamuuliza maswali surveyor kuwa baada ya wewe kutoka hapa huduma nitarajie kuipata kwa muda gani? akaniambia mpaka wamalizane na waliowahi kabla yangu.
Hapo ndio nikashangaa, nikamuambia mimi nimeanza miaka miwili kufuatilia swala la fiber hao unaowasema wamenitangulia hata miezi 6 hawajafikisha.
Sasa kwanini mimi niliyekuwa wamwanzo niwekwe pending na watu ambao wamekuja baada yangu?
Mara surveyor alete vikwazo ambavyo havina msingi eti eneo langu lipo mbali na ilipoishia fiber hivyo kutakuwa na process ndefu kidogo kwasababu italazimika ziwekwe nguzo.
Nikamuambia mbona hilo sala unalolisema wewe lilikuwepo miaka ya nyuma na ndio sababu ya mimi kushindwa kuchukua fiber nika request Copper?
Kwasababu mwaka juzi TTCL imeingia mkataba na TANESCO kuhusu kushea nguzo ili kufanikisha usambazaji wa internet kote nchini bure inayofika kila sehemu na ndio maana mkaita faiba mlangoni kwako?
Akaniambia ndio huwa wanatumia nguzo za TANESCO ila hutegemeana na situation. Mimi sikuridhika na majibu yake ikabidi niandike email tena
View attachment 2752253
Baada ya hii email nikapokea simu kutoka kwa yule surveyor akinilaumu kwanini nimetuma email tena kulalamika vitu ambavyo tumeongea, sijui aliambiwa nini.
Nikamjibu nikamuambia isingekuwa busara kutorudisha mjesho kwa watu ambao wamekuwa msaada kwenye swala hili.
Lakini hata hivyo nilikuambia kuwa nimeambiwa niwape mrejesho so ulikuwa una taarifa kamili za hiki nilichoenda kuandika, otherwise kama kulikuwa kuna vitu hukutaka wavijue ungeniambia kuwa hiki na hiki usiseme. Na mimi ningekuuliza kwanini
Kwasababu swala la nguzo ni swala ambalo lipo nje ya uwezo wakoso malalamiko yangu kuhusu hilo jambo hayakuwa na effects yeyote kwako kwasababu wewe i mtumishi unayepokea maagizo, kama maagizo yao uliambiwa nguzo za TANESCO zipo limited basi haiwezi kuwa shida mimi kusema kuhusu hilo swala.
Wanakupa bure, ukishalipia watakupigia wakuletee popte ulipo. Honestly ni huduma nzuri value for moneyMkuu router wanakupa bure au unalipia?
Nipe connection kaka, kwenye site yao inaonekana wanauza hizo router. Ya minimum price ni 615,000Wanakupa bure, ukishalipia watakupigia wakuletee popte ulipo. Honestly ni huduma nzuri value for money
Wamezoea Hawa acha wapelekewe Moto tu saiziKazi wanayo[emoji2][emoji2]
Kazi ipoMrejesho TTCL
Baada ya yule surveyor siku ya Ijumaa kuniambia ikifika Jumatatu ataniambia kuhusu mchakato ulipofikia.
Jana nilisubiri mpaka saa 10 jioni sikuona simu yake wala meseji. Nikaamua kumcheki mwenyewe hapo ilikuwa ni majira ya saa 16:49.
Alipopokea simu kwanza hakujua anaongea na nani mpaka pale nilipomkumbusha.
Akaniambia kwanini sikupiga simu tangu asubuhi kumkumbusha....nikamwambia "kwasababu uliniambia utanipa mrejesho sikuwa na wazo kuwa asubuhi umesahau ila nilipoona mpaka inafika jioni imekuwa kimya ndio nikajua utakuwa umesahau"
Akaniambia muda huu niko nje ngoja niingie ndani kuuliza halafu nitakupa majibu. Hapo hapo nikamuambia basi ukiuliza unijulishe usisahau akasema poa.
Nikaona muda unazidi kwenda bila kuona simu wala meseji, na huu muda kikawaida ofisi zinakuwa zimefungwa so nikajua tu amejisahau ikabidi nimpigie tena.
Nampigia simu ikaita bila kupokelewa nikaaamua nimsikikizie huwenda yuko mbali na simu au yupo busy.
Nilipoona mpaka inafika saa 19:30 bado kimya nikamuandikia meseji View attachment 2754563
BURE kwenda namba 15066Anaejua Ile njia ya kutuma meseji then unapewa gb kadhaa na mtandao wa tigo...naomb maujanja
Na sometimes uwa wanapenda ivoo Mimi nilisha wahi kujaza fom zao Toka mwaka Jana mpaka Leo kimya nikatemana mao tuKazi ipo
Acha tuKazi ipo
wababaishaji sana hawa , hivi Chief-Mkwawa , Is_haq91 iliwachukua muda gani kukamilisha?Na sometimes uwa wanapenda ivoo Mimi nilisha wahi kujaza fom zao Toka mwaka Jana mpaka Leo kimya nikatemana mao tu