Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu, nitamchek. Nitaleta mrejeshoMcheck huyu jamaa 0742772122 atakupa utaratibu wote.Router wanakupa bure ukishalipia hela ya miezi miwili.
Hallotel kuna nini kwa sasa mkuu?Airtel Sme, Tigo postpaid ndio vifurushi nafuu kwa sasa mkuu.
Hii line mkuu nikienda kwenye office za Hallotel watanipatia?Bei zako ni too expensive
Halotel kuna line inayotoa 18GB kwa 15K
Means kwenye 15K unapata bonus ya 3GB
Sijajua kama zipo rasmi kuwa hata kwenye ofisi zao zinauzwa.Hii line mkuu nikienda kwenye office za Hallotel watanipatia?
Shukrani mkuuSijajua kama zipo rasmi kuwa hata kwenye ofisi zao zinauzwa.
Ila leo kwenye market nimeona post kuna mdau anaunganisha.
Sharti lake ni kwamba lazima mkutane physically akusajilie laini. Unaweza ukamcheki kupitia tangazo lake hapo kuna namba ameweka.View attachment 2756119
Kuna wadau wanadai kuna line za Halotel zinakuwa na GB za kutosha ila sija tumia bado.Hallotel kuna nini kwa sasa mkuu?
Hata kuandika tu hajui...Baada ya dakika 20 naye akajibu meseji View attachment 2754571
Nikamjibu
View attachment 2754575
Nikamfahamisha kuwa kesho ambayo ndio leo nitafika ofisini kwao ili nipate uhakika zaidiView attachment 2754576
Leo sasa kabla sijaondoka kwenda ofisini kwao nikapiga simu tena kwa surveyor ikaita lakini haikupokelewa.
Nimefika ofisini kwao nikamkuta mwenzake ambaye alikuja naye siku ya survey.
Nikamuuliza vipi mchakato umefikia wapi. Huyu akaniambia eneo langu connection ya B.O.Q imejaa hivyo wataalamu wapo katika mchakato wa kufunga zingine, zikikamilika watanijuza.
Nikamuuliza kuhusu uhakika wa siku ambayo hiyo process ya kufunga hiyo connection itakamilika.
Akaniambia yeye hawezi kujua kwasababu hilo jambo lipo nje ya uwezo wake.
We told them...Naona saizi wasambazaji wa Router za Airtel wameanza kutembea mitaani kama wasajili laini.
Soko limekuwa gumu
Kuna mmoja kaniambia kuwa ukiwa na tin, leseni na namba ya NIDA anakupa free Router utalipia 110,000 kwa kifurushi cha Mbps 30 cha mwezi mmojaWe told them...
Walipaswa wachunguze soko kwanza, kisha wajikite kwenye maeneo yasiyo na huduma za 5G unlimited..
Huwezi kwenda maeneo ambayo yako saturated na providers wengine tayari, tena wana cheap prices kuliko wewe mgeni..
Hapo inabidi uchukue details zake zote...Kuna mmoja kaniambia kuwa ukiwa na tin, leseni na namba ya NIDA anakupa free Router utalipia 110,000 kwa kifurushi cha Mbps 30 cha mwezi mmoja
Halafu baada ya hapo mwezi ukiisha utakuwa na uchaguzi wa kununua kifurushi chochote unachotaka hata kama utanunua kile cha 70,000.
Lakini ukumbuke niliwahi kuuliza hilo swali nikajibiwa kuwa haiwezekaniki. Mfanya biashara lazima alipie kifurushi cha 110,000.
Sasa huyu aliyekuwa anatembea mtaa kwa mtaa nimemuuliza vipi na wewe system yako ina ruhusu kumsajili mteja kwa 110,000 halafu baada ya hapo alipie 70,000.
Kanijibu kuwa huo mfumo haupo. Kapiga simu hadi kwa kiongozi wake kaambiwa haiwezekani.
Sasa najiuliza inakuwaje watoa huduma wengine swala hilo liwezekane na wengine ishindikane?
Jamaa akaniambia pengine huyo jamaa anasaka wateja kwa nguvu, anatumia uongo kuwarubuni wateja
Anajua kuwa akikuunga saizi ni mpaka mwezi uishe ndio uanze kumtafuta, wakati huo tayari ye anapata kamisheni.
Vita ni kali sana
Mkuu huko juu kuna sehemu ulikuwa unazungumzia huduma za TTCL ukawa unazungumzia masuala ya fiber na copper.Hiyo copper ni nini mkuu?Naona saizi wasambazaji wa Router za Airtel wameanza kutembea mitaani kama wasajili laini.
Soko limekuwa gumu
Copper ni aina ya internet inayotumia mfumo wa ADSL inasambazwa na TTCL kwa zile nguzo zilizokuwa zinatumika kwenye simu za mezaniMkuu huko juu kuna sehemu ulikuwa unazungumzia huduma za TTCL ukawa unazungumzia masuala ya fiber na copper.Hiyo copper ni nini mkuu?
Tatizo ni vifurushi.Naona saizi wasambazaji wa Router za Airtel wameanza kutembea mitaani kama wasajili laini.
Soko limekuwa gumu
Nasajili hapa RouterTatizo ni vifurushi.
Hii iko vizuriAirtel 5G package ya 30Mbps baby View attachment 2758183
Nimeamua nichukue tu Router ya Airtel baada ya jamaa kunihakikishia kuwa package ya 70,000 nitaweza kuipata baada ya hii package ya 110,000 kuisha.Hii iko vizuri
Sawa mkuu utatupa mrejeshoNimeamua nichukue tu Router ya Airtel baada ya jamaa kunihakikishia kuwa package ya 70,000 nitaweza kuipata baada ya hii package ya 110,000 kuisha.
Kaniambia ni uhakika