Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndio option hata yangu nilipewa hio mwanzoni lazima ulipe hio 110,000Nimeamua nichukue tu Router ya Airtel baada ya jamaa kunihakikishia kuwa package ya 70,000 nitaweza kuipata baada ya hii package ya 110,000 kuisha.
Kaniambia ni uhakika
Baada ya hapo uliambiwa utalipia 70,000?Hiyo ndio option hata yangu nilipewa hio mwanzoni lazima ulipe hio 110,000
YeahBaada ya hapo uliambiwa utalipia 70,000?
Na tangu umechukua hata mwezi haujafika, ngoja tusikilizie tuone kama tuliyoambiwa tutayaona au ni hogwashYeah
Bado kama siku 10 ntajionea ila nakumbuka kifurushi kilikuwepo Ile sikuNa tangu umechukua hata mwezi haujafika, ngoja tusikilizie tuone kama tuliyoambiwa tutayaona au ni hogwash
Eneo lako Lina 5G?Kuna muda inapiga mpaka 2.7 MbpsView attachment 2758402
Siku kimeisha nataka kuunga halafu nakutana na 110,000, 150,000 au 200,000Bado kama siku 10 ntajionea ila nakumbuka kifurushi kilikuwepo Ile siku
Hapo kinaonekana ila ishu ambayo inanipa wasiwasi ni kwamba vipi ukachagua halafu kikagoma kwa demand ya kuwa wewe ni mfanya biashara kifurushi chako ni kuanzia 110,000 and above?Kipo mkuu nimefanya kama nalipia hapa nimekiona [emoji2][emoji2][emoji2]View attachment 2758562
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapo kinaonekana ila ishu ambayo inanipa wasiwasi ni kwamba vipi ukachagua halafu kikagoma kwa demand ya kuwa wewe ni mfanya biashara kifurushi chako ni kuanzia 110,000 and above?
Unauza router tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mb 100 na sms 5 [emoji17]Watumiaji wa halotel ingieni playstore mdownload application inaitwa My Halo ujisajili baada ya usajili utapewa GB1 ya bure
ni GB 1 verifiedMb 100 na sms 5 [emoji17]
Wamenionaje
Voda naye kaamua kuja na packages ya 70,000Chief-Mkwawa Voda nae katapika ndoano kwa airtel
Kwa 40,000 Labda watoe package ya 5mbpsVoda naye kaamua kuja na packages ya 70,000
Safi sana waendelee kutugombania
Atayekuja na 40,000 ndio ataye win
bro line ya halotel inayouzwa 15k,umejaribu ikafanya kazi?Naona saizi wasambazaji wa Router za Airtel wameanza kutembea mitaani kama wasajili laini.
Soko limekuwa gumu
Mkuu sasaiv unatumia 5G router kama Mimi embu nipe mbinu ya kuhide password au Ile qr code isionekaneVoda naye kaamua kuja na packages ya 70,000
Safi sana waendelee kutugombania
Atayekuja na 40,000 ndio ataye win