mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Hii a qrcode linasumbua sana aiseee mitoto inashare sana hapa mtaani daahMkuu sasaiv unatumia 5G router kama Mimi embu nipe mbinu ya kuhide password au Ile qr code isionekane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii a qrcode linasumbua sana aiseee mitoto inashare sana hapa mtaani daahMkuu sasaiv unatumia 5G router kama Mimi embu nipe mbinu ya kuhide password au Ile qr code isionekane
Usigawe hovyo badili nywila tenaHii a qrcode linasumbua sana aiseee mitoto inashare sana hapa mtaani daah
Hao hao ninaowagawia sio waaminifu...unakuta yy nimemlipisha then anaenda kwa mwenzie wanascan barcode .....na mimi kubadili password mpaka niwapigie wwnyewe.Usigawe hovyo badili nywila tena
Wapigie kaka vijana skuiz miyeyusho sana sio waaminifuHao hao ninaowagawia sio waaminifu...unakuta yy nimemlipisha then anaenda kwa mwenzie wanascan barcode .....na mimi kubadili password mpaka niwapigie wwnyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mbinu Ipo hata Mimi wananisumbua sanaHii a qrcode linasumbua sana aiseee mitoto inashare sana hapa mtaani daah
Router ya namna gani hio ambayo huwezi kubadili password?Hao hao ninaowagawia sio waaminifu...unakuta yy nimemlipisha then anaenda kwa mwenzie wanascan barcode .....na mimi kubadili password mpaka niwapigie wwnyewe.
Nilishaeleta huku mkuu nilifanya yote ikagoma mpaka niwapigie ISP ndio wanacontrolRouter ya namna gani hio ambayo huwezi kubadili password?
Nipe mbinu mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mbinu Ipo hata Mimi wananisumbua sana
Hii package ni unlimited?Airtel 5G package ya 30Mbps baby View attachment 2758183
Iko hiviHii a qrcode linasumbua sana aiseee mitoto inashare sana hapa mtaani daah
YeahHii package ni unlimited?
Soma post yangu ya juu hapo inaweza kukusaidia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mbinu Ipo hata Mimi wananisumbua sana
Hapana Mkuu mimi naamini ni Ip Address tu ambayo unakosea.Nilishaeleta huku mkuu nilifanya yote ikagoma mpaka niwapigie ISP ndio wanacontrol
Mkuu unatumia Router gani?Nipe mbinu mkuu
Nenda kwenye settings kablock users, mbona rahisi sana. Ukiblock wawili watatu wataacha kupeana passwordHao hao ninaowagawia sio waaminifu...unakuta yy nimemlipisha then anaenda kwa mwenzie wanascan barcode .....na mimi kubadili password mpaka niwapigie wwnyewe.
Nitashukuru mkuu manaake nilikuwa nikiingia sifiki sehem ya kuloginHapana Mkuu mimi naamini ni Ip Address tu ambayo unakosea.
Ulijaribu ku click properties kwenye connection ya Ethernet Cable ili uone IP Address?
Maana kule zipo IP address zaidi ya mbili, so inaweza ikawa ulienda kwenye IP Address tofauti.
Jaribu zoezi hili kesho naamini utafanikiwa tu, nitakuwekea na Clip ya kuangalia hizo multiple IP Address ili upate iliyo sahihi.
Tatizo router yangu inazingua kwenye kuingia kwa account yanguNenda kwenye settings kablock users, mbona rahisi sana. Ukiblock wawili watatu wataacha kupeana password
Hiyo apoo mkuuMkuu unatumia Router gani?
Nikaconnect na pc kujua taarifa zanguMkuu unatumia Router gani?