Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Mkuu ebu jaribu kufanya hivi.Nitashukuru mkuu manaake nilikuwa nikiingia sifiki sehem ya kulogin
Kwenye properties za Ethenet tafuta IP Address ya IPV DNS Servers
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ebu jaribu kufanya hivi.Nitashukuru mkuu manaake nilikuwa nikiingia sifiki sehem ya kulogin
Hii tunaipataje?Chief-Mkwawa Voda nae katapika ndoano kwa airtel
Mkuu jaribu kupitia hapaMkuu sasaiv unatumia 5G router kama Mimi embu nipe mbinu ya kuhide password au Ile qr code isionekane
Hii Kama Unataka kwa home use inabidi ununue router zao nafikiri inaanza 615000. Lakini Ukienda na license ya biashara na TIN unapata router bure Lkn Pia ina mkataba wa miaka miwili na kufanya deposit ya kifurushi unachotaka cha miezi miwili.Hii tunaipataje?
Contents unazoangalia youtube watu wametumia gharama kuziandaa so hiyo ni namna ya kuchangia gharama. Ndomana usipotaka kuangalia hayo matangazo utapaswa kulipia premium (kuchangia direct)[emoji849][emoji849][emoji849]Mimi siyaitaji chief sasa nilipie ili nigundue nini
😄😄😄🤥Sasa mimi hayo matangazo yananihusu nini kama tuko na TVContents unazoangalia youtube watu wametumia gharama kuziandaa so hiyo ni namna ya kuchangia gharama. Ndomana usipotaka kuangalia hayo matangazo utapaswa kulipia premium (kuchangia direct)
Kama hayakuhusu basi youtube haikuhusu pia maana ndo utaratibu wao wa kuchangia gharama za maudhui. Tafuta pesa ulipie premium na si kulalamika kwenye contents za watu.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1781]Sasa mimi hayo matangazo yananihusu nini kama tuko na TV
Download browser yenye adblock kama | Ccleaner browser | CCleaner Browserzaje kuyafunga yasiwe yanajitokeza msaada plz
Yaani ukiingiza hozo ip Adreess ndio haitaki ingiaMkuu ebu jaribu kufanya hivi.
Kwenye properties za Ethenet tafuta IP Address ya IPV DNS Servers
View attachment 2761458
Kibabe sanaaCheki speed hiyo
View attachment 2761586
Unefatisha kams nilivyoonesha kwenye clip na ikagoma?Yaani ukiingiza hozo ip Adreess ndio haitaki ingia
Umejaribu hizo ip address nyingine nazo zikagoma?Yaani ukiingiza hozo ip Adreess ndio haitaki ingia
Zote zimegoma..kuna aplication pia nimetumia nayo imegoma ...inaonekana ISP wangu kuna maujanja kafanyaUmejaribu hizo ip address nyingine nazo zikagoma?
Huko kute nilipita...chief mkwawa alinipa maelekezo nikapata hadi hizo ip adressUnefatisha kams nilivyoonesha kwenye clip na ikagoma?
Hii ni app ninayo kwenye simu nimejaribu kwenye router ya jirani imesoma hapo kwenye ip..kuchangr adress etc but yangu ni nehUmejaribu hizo ip address nyingine nazo zikagoma?
Hivi leseni ya biashara ni kazima?Hii Kama Unataka kwa home use inabidi ununue router zao nafikiri inaanza 615000. Lakini Ukienda na license ya biashara na TIN unapata router bure Lkn Pia ina mkataba wa miaka miwili na kufanya deposit ya kifurushi unachotaka cha miezi miwili.
HapoVitu vyote naona hadi waliocinnect hii router yangu nawaona issue hapo kwenye kuchange password coz lazima iende kwa ip inagomaaaa