Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Shukrani..hii njia naona itanifaa sana.vijana wanapeana sana pasword at list niwe nawaona
Tafuta tu router nzuri then blacklist/white-list Mac adress, mfano mtu unae connect na wifi unachukua Mac yake Unai white-list, akimpa mtu password huyo aliepewa unamblacklist, hata aki connect hapati kitu.
 
Bei chee itategemea na eneo ambalo upo.

Kama upo DSM maeneo ya Sinza, Masaki, Mbezi, Kawe nk. Huko kuna Fiber ambazo vifurushi vyao ni kuanzia 70K na installation haizidi 200,000

Maeneo hayo pia hata TTCL wapo na wana package za 55K ila sijawaweka kipaumbele kwasababu ni miyeyusho. Hawaaminiki.

Tofauti na hapo hakuna kifurushi cha unlimited unachoweza kupata below 70K

Kama ni ushauri ni bora ukatafuta 110K uchukue Router ya Airtel yenye 30Mbps ambapo baada ya mwezi utaweza kununua package ya 70K kama 110K inakuwa ngumu ku afford.

Ila kama ukiwa maeneo ya biashara una ofisi yako basi unaweza ku share na majirani zako wakawa wanakulipa buku buku ambazo utakuwa unalipia kifurushi mwisho wa mwezi.
Mimi nipo kinondoni...kuna hawa wanajiita netsolotion 20mbps unapata kwa 59000 kwa mwezi na ni unlimited but wakati wa kuanza inatakiwa ulipie at least miezi 3 installation ni free
 
Tafuta tu router nzuri then blacklist/white-list Mac adress, mfano mtu unae connect na wifi unachukua Mac yake Unai white-list, akimpa mtu password huyo aliepewa unamblacklist, hata aki connect hapati kitu.
Ndicho nataka nifanye yaani upo kwa akili yangu mkuu kesho nasogea kko nikasagule naanda 20 yangu hope itatosha
 
Tafuta tu router nzuri then blacklist/white-list Mac adress, mfano mtu unae connect na wifi unachukua Mac yake Unai white-list, akimpa mtu password huyo aliepewa unamblacklist, hata aki connect hapati kitu.
Sema saizi kuna simu ambazo zina mfumo wa kitofauti kidogo.

Mfano Google Pixel inaweza kupokea internet kupitia WI-FI halafu uka share hiyo internet na mtu mwingine kupitia hotspot yako.

Simu zingine ukiwasha WI-FI halafu ukataka kuwasha hotspot, WiFi automatically itajizima. Yani haiwezekani WiFi na hotspot zote zikawa on service kwa mpigo.

Kwa njia hii ni ngumu kuweza kum-block huyo mtu mwingine anayetumia WI-FI kupitia mtu uliyemuunganisha.
 
Bei chee itategemea na eneo ambalo upo.

Kama upo DSM maeneo ya Sinza, Masaki, Mbezi, Kawe nk. Huko kuna Fiber ambazo vifurushi vyao ni kuanzia 70K na installation haizidi 200,000

Maeneo hayo pia hata TTCL wapo na wana package za 55K ila sijawaweka kipaumbele kwasababu ni miyeyusho. Hawaaminiki.

Tofauti na hapo hakuna kifurushi cha unlimited unachoweza kupata below 70K

Kama ni ushauri ni bora ukatafuta 110K uchukue Router ya Airtel yenye 30Mbps ambapo baada ya mwezi utaweza kununua package ya 70K kama 110K inakuwa ngumu ku afford.

Ila kama ukiwa maeneo ya biashara una ofisi yako basi unaweza ku share na majirani zako wakawa wanakulipa buku buku ambazo utakuwa unalipia kifurushi mwisho wa mwezi.
Asante sana, mimi nakaa mbezi ya kibamba.
Nitafatilia hiyo ya Airtel nafikiri 70k naweza mudu maana kwa sasa najikuta natumia mpaka 5000 kwa siku kwenye internet.

Je hiyo router ni portable nanunua na kuitumia popote au inafanyika installation?
 
Sema saizi kuna simu ambazo zina mfumo wa kitofauti kidogo.

Mfano Google Pixel inaweza kupokea internet kupitia WI-FI halafu uka share hiyo internet na mtu mwingine kupitia hotspot yako.

Simu zingine ukiwasha WI-FI halafu ukataka kuwasha hotspot, WiFi automatically itajizima. Yani haiwezekani WiFi na hotspot zote zikawa on service kwa mpigo.

Kwa njia hii ni ngumu kuweza kum-block huyo mtu mwingine anayetumia WI-FI kupitia mtu uliyemuunganisha.
Sio Pixel tuu, kimsingi ni simu zote latest zina huo uwezo, sijajua wazee wa iOS, ila simu za android ni feature ya kawaida kwa sasa.
 
Hapo ni simu ina act kama repeater, kwa uelewa wangu bado itaonekana kwenye router. IP mama ipo kwako ambayo yule mtu anatumia ku connect.
Haionekani Mkuu mimi nimejaribu

Nimegundua inachukua IP address ya ile simu ambayo inatambulika kwenye control pannel ya Router.

Yani huu ni msala labda kama una Router yenye uwezo wa kugawa bandwidth uwapimie speed ambayo hata wakishare hawatapata speed kubwa.

Labda uwakomeshe kwa hivyo
 
Kuna huu mzigo vip utanifaa nikiunga na router yangu kuwa kama accesspoint?
87791413.jpg
1123177121.jpg
 
Kuna huu mzigo vip utanifaa nikiunga na router yangu kuwa kama accesspoint?View attachment 2763905View attachment 2763906
N300 ni wifi ya kizamani mkuu. Router za Wifi 5 zitakua na speed zaidi.

Sema nimesoma mahala hii router ina range kubwa sana, so kama lengo ni coverage over speed itakufaa, ila kama unataka speed kucheza games, kustream etc ni ya kizamani.
 
N300 ni wifi ya kizamani mkuu. Router za Wifi 5 zitakua na speed zaidi.

Sema nimesoma mahala hii router ina range kubwa sana, so kama lengo ni coverage over speed itakufaa, ila kama unataka speed kucheza games, kustream etc ni ya kizamani.
Hapa lengo ni Kuongeza IWEZE kufika SEHEMU ya mbari zaidi maana wenye uhitaji ni watu wanaotumia simu tu
 
Haionekani Mkuu mimi nimejaribu

Nimegundua inachukua IP address ya ile simu ambayo inatambulika kwenye control pannel ya Router.

Yani huu ni msala labda kama una Router yenye uwezo wa kugawa bandwidth uwapimie speed ambayo hata wakishare hawatapata speed kubwa.

Labda uwakomeshe kwa hivyo
hii ndo dawa
 
Back
Top Bottom