Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Yupo mwanangu anaitumia na iko freshbro line ya halotel inayouzwa 15k,umejaribu ikafanya kazi?
Ishu ni kwamba haipigi wala kutuma meseji.
Halafu hata namba yenyewe haipo.
Ukiminya *106# kuangalia usajili haikuletei namba halisi ya simu