Mbona mm sipati hivo vifurushi vya halotel......napata dk chache na mb 800 tu. msaada ndugu zangu nakosea wapiHalotel chuo ni baba lao.... 10gb, 125dk Halotel - Halotel, 80dk mitandao yote, 10000sms kwa sh. 10,000 tu kwa mwezi!!
Aksante sana Halotel kwa kuja!!
Sent using Jamii Forums mobile app
una line ya chuo?Mbona mm sipati hivo vifurushi vya halotel......napata dk chache na mb 800 tu. msaada ndugu zangu nakosea wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
*148*55# kisha kifurushi cha mwezi unapata mb800 tu?
unajiunga na menu ya *148*55# au *148*66# ?Kwa wiki sio mwezi....line hii nimeinunua hiv karibuni lkn nilokua nikitumia zamani ilikua najiunga 1500 wiki napata dk 130 na gb 2 sms kibao lkn hii napata mb 800.....au line hizi za sasa wamepunguza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama inawezekana niunganishe kwa namba yangu ya kawaida.Kwa anayehitaj line za vodacom za chuo mi ninanazo naziuza 5000 moja na unasajiliwa kwa kitambulisho chako
Sent using Jamii Forums mobile app
haipo tena,
cheki voda vifurushi maalum kama una line ya voda,
Unapatikana wapi?
Nimekupm mkuuAsante mkuu kwa positive feedback....pia nmepata Salio lako nashukuru.
Karibun:
Halotel 10000
Vodacom 5000 ni ndani ya dakika 10 tu unakuwa na laini ya chuo unajiunga popote na muda wowote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza badilisha a registereed line ama hyo unayotengeneza ni new line so inabidi mtu aje physically hapo..nimekuPM lakini my detailsKwa anayehitaj line za vodacom za chuo mi ninanazo naziuza 5000 moja na unasajiliwa kwa kitambulisho chako
Sent using Jamii Forums mobile app
Vifurushi vyao vipojeHalotel chuo ni baba lao.... 10gb, 125dk Halotel - Halotel, 80dk mitandao yote, 10000sms kwa sh. 10,000 tu kwa mwezi!!
Aksante sana Halotel kwa kuja!!
Sent using Jamii Forums mobile app
yaani we acha tu mpaka saivi nimewahama