Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #7,581
Tafuta tu router nzuri then blacklist/white-list Mac adress, mfano mtu unae connect na wifi unachukua Mac yake Unai white-list, akimpa mtu password huyo aliepewa unamblacklist, hata aki connect hapati kitu.Shukrani..hii njia naona itanifaa sana.vijana wanapeana sana pasword at list niwe nawaona
Mimi nipo kinondoni...kuna hawa wanajiita netsolotion 20mbps unapata kwa 59000 kwa mwezi na ni unlimited but wakati wa kuanza inatakiwa ulipie at least miezi 3 installation ni freeBei chee itategemea na eneo ambalo upo.
Kama upo DSM maeneo ya Sinza, Masaki, Mbezi, Kawe nk. Huko kuna Fiber ambazo vifurushi vyao ni kuanzia 70K na installation haizidi 200,000
Maeneo hayo pia hata TTCL wapo na wana package za 55K ila sijawaweka kipaumbele kwasababu ni miyeyusho. Hawaaminiki.
Tofauti na hapo hakuna kifurushi cha unlimited unachoweza kupata below 70K
Kama ni ushauri ni bora ukatafuta 110K uchukue Router ya Airtel yenye 30Mbps ambapo baada ya mwezi utaweza kununua package ya 70K kama 110K inakuwa ngumu ku afford.
Ila kama ukiwa maeneo ya biashara una ofisi yako basi unaweza ku share na majirani zako wakawa wanakulipa buku buku ambazo utakuwa unalipia kifurushi mwisho wa mwezi.
Ndicho nataka nifanye yaani upo kwa akili yangu mkuu kesho nasogea kko nikasagule naanda 20 yangu hope itatoshaTafuta tu router nzuri then blacklist/white-list Mac adress, mfano mtu unae connect na wifi unachukua Mac yake Unai white-list, akimpa mtu password huyo aliepewa unamblacklist, hata aki connect hapati kitu.
Sema saizi kuna simu ambazo zina mfumo wa kitofauti kidogo.Tafuta tu router nzuri then blacklist/white-list Mac adress, mfano mtu unae connect na wifi unachukua Mac yake Unai white-list, akimpa mtu password huyo aliepewa unamblacklist, hata aki connect hapati kitu.
Asante sana, mimi nakaa mbezi ya kibamba.Bei chee itategemea na eneo ambalo upo.
Kama upo DSM maeneo ya Sinza, Masaki, Mbezi, Kawe nk. Huko kuna Fiber ambazo vifurushi vyao ni kuanzia 70K na installation haizidi 200,000
Maeneo hayo pia hata TTCL wapo na wana package za 55K ila sijawaweka kipaumbele kwasababu ni miyeyusho. Hawaaminiki.
Tofauti na hapo hakuna kifurushi cha unlimited unachoweza kupata below 70K
Kama ni ushauri ni bora ukatafuta 110K uchukue Router ya Airtel yenye 30Mbps ambapo baada ya mwezi utaweza kununua package ya 70K kama 110K inakuwa ngumu ku afford.
Ila kama ukiwa maeneo ya biashara una ofisi yako basi unaweza ku share na majirani zako wakawa wanakulipa buku buku ambazo utakuwa unalipia kifurushi mwisho wa mwezi.
Sio Pixel tuu, kimsingi ni simu zote latest zina huo uwezo, sijajua wazee wa iOS, ila simu za android ni feature ya kawaida kwa sasa.Sema saizi kuna simu ambazo zina mfumo wa kitofauti kidogo.
Mfano Google Pixel inaweza kupokea internet kupitia WI-FI halafu uka share hiyo internet na mtu mwingine kupitia hotspot yako.
Simu zingine ukiwasha WI-FI halafu ukataka kuwasha hotspot, WiFi automatically itajizima. Yani haiwezekani WiFi na hotspot zote zikawa on service kwa mpigo.
Kwa njia hii ni ngumu kuweza kum-block huyo mtu mwingine anayetumia WI-FI kupitia mtu uliyemuunganisha.
Hiki sasa ndio kipengele ambacho ni ngumu kukidhibiti.Sio Pixel tuu, kimsingi ni simu zote latest zina huo uwezo, sijajua wazee wa iOS, ila simu za android ni feature ya kawaida kwa sasa.
Ina maana hapo hutakuwa na uhakika wa idadi rasmi ya devices zinazonufaika na intaneti yako. Huu mtihani mwingine mgumu.Hiki sasa ndio kipengele ambacho ni ngumu kukidhibiti.
Hata kugundua sio rahisi
Hapo ni simu ina act kama repeater, kwa uelewa wangu bado itaonekana kwenye router. IP mama ipo kwako ambayo yule mtu anatumia ku connect.Hiki sasa ndio kipengele ambacho ni ngumu kukidhibiti.
Hata kugundua sio rahisi
Haionekani Mkuu mimi nimejaribuHapo ni simu ina act kama repeater, kwa uelewa wangu bado itaonekana kwenye router. IP mama ipo kwako ambayo yule mtu anatumia ku connect.
Ngoja tuangalie pengine tukaweza kupata suluhuIna maana hapo hutakuwa na uhakika wa idadi rasmi ya devices zinazonufaika na intaneti yako. Huu mtihani mwingine mgumu.
N300 ni wifi ya kizamani mkuu. Router za Wifi 5 zitakua na speed zaidi.Kuna huu mzigo vip utanifaa nikiunga na router yangu kuwa kama accesspoint?View attachment 2763905View attachment 2763906
Hapa lengo ni Kuongeza IWEZE kufika SEHEMU ya mbari zaidi maana wenye uhitaji ni watu wanaotumia simu tuN300 ni wifi ya kizamani mkuu. Router za Wifi 5 zitakua na speed zaidi.
Sema nimesoma mahala hii router ina range kubwa sana, so kama lengo ni coverage over speed itakufaa, ila kama unataka speed kucheza games, kustream etc ni ya kizamani.
Kuna nn huko mkuuu, tusanue tujueNaona Huko ttcl mfaiba wameamua iwe kama kuvuta umeme hivi[emoji23][emoji23][emoji23] enzi zile
hii ndo dawaHaionekani Mkuu mimi nimejaribu
Nimegundua inachukua IP address ya ile simu ambayo inatambulika kwenye control pannel ya Router.
Yani huu ni msala labda kama una Router yenye uwezo wa kugawa bandwidth uwapimie speed ambayo hata wakishare hawatapata speed kubwa.
Labda uwakomeshe kwa hivyo
TufahamisheNaona Huko ttcl mfaiba wameamua iwe kama kuvuta umeme hivi😂😂😂 enzi zile
Hujanielewa Mkuuhii ndo dawa