Okay sawasawaHujanielewa Mkuu
Kiufupi ni kwamba bado hakuna solution kwenye watu wanaotumia hotspot kushare na wengine
MrejeshoSawa mkuu, nitamchek. Nitaleta mrejesho
Mkuu, kwa sasa nasikia wana kifurushi cha 70k, kuna ukweli ktk hili?Mrejesho
Nilichkua contact aliyonipa mdau hapo juu kuhusu unlimited internet ya Voda.
Nikampigia mshkaji, akarespond vizuri akanipa utaratibu huu:
1. Contract ni ya miaka miwili, ambapo router unapewa bure, lakini ukiterminate contract utalipia thamani ya router
2. Unatanguliza fee ya miezi miwili kama security deposit.
Baada ya kusign ile contract nikatumiwa details za kulipia baada ya siku. Then baada ya kulipia after two days nikaletewa router ya ZTE 5G.
Ndo niko naitest hapa, location nilipo 5G inakamata vyema bila tatizo. So far performance ni nzuri sana. Voda wako vizuri.
Sijajua kuhusu kifurushi cha 70k mkuu. Mm jamaa alihitaji TIN na NIDA baaasMkuu, kwa sasa nasikia wana kifurushi cha 70k, kuna ukweli ktk hili?
Na wanahitaji TIN tuu au ni lazima uwe na leseni ya biashara?
Ukiangalia kwenye menu kuna vifurushi vya kuanzia bei gani..Sijajua kuhusu kifurushi cha 70k mkuu. Mm jamaa alihitaji TIN na NIDA baaas
Sijajua nacheck kwenye menu ipi mkuu, utaratibu nliopewa ni wa kulipa through postpaid, kwa account nliyofunguliwa.Ukiangalia kwenye menu kuna vifurushi vya kuanzia bei gani..
Hebu fanya kutuangalizia mkuu, ili tujue tunaenda Voda ama Airtel
Yes, ttcl wazembe sana kwenye kuunganisha wateja wapya ila huduma yao ya fiber iko vizuri mno. Nilipambana sana mpaka wakaniletea huduma (mazingira ya rushwa)Naona Huko ttcl mfaiba wameamua iwe kama kuvuta umeme hivi[emoji23][emoji23][emoji23] enzi zile
Hiyo App inaitwaje mkuu?Hii ni app ninayo kwenye simu nimejaribu kwenye router ya jirani imesoma hapo kwenye ip..kuchangr adress etc but yangu ni nehView attachment 2762144
Tunavipatajeh mkuuHALOTEL
GB 40 - BEI 45000/=
GB 38 - BEI 42000/=
GB 23 - BEI 27000/=
GB 15 - BEI 20000/=
GB 7 - BEI 13000/=
GB 15 DAKIKA 1100 SMS 1000 - BEI 23000/=
Vodacom gb 9.8 tsh 20000 MWEZI
Unazungumzia VODACOM SME bila shaka kama sijakosea kuelewa maelezo yakoMkuu, kwa sasa nasikia wana kifurushi cha 70k, kuna ukweli ktk hili?
Na wanahitaji TIN tuu au ni lazima uwe na leseni ya biashara?
Kivip mbona sijaelewaHivi hii Router ya Airtel kuna ambaye ameweza kuifanyia configuration za remotely access?
Inanitoa jasho
Remote access inakupa uwezo wa kui manage Router yako ukiwa popote pale.Kivip mbona sijaelewa
Ni ngumu kwa Router hii ila sio kama haiwezekani kwa brand zingineHio naona Kama ni ngumu Mzee coz Ili uingie kwenye mfumo lazima uwe umeconect na hiyo router yako mie nilijalibu sana ivoo ikanigomea
Naona wamekitoa. Mimi juzi tu nilitizama nakaona a wana cha 70k Leo natizama tena hakipoVoda supakasi bado wana vifurushi vilevile vya minimum 115k kwa 120k...
Nimewacheki leo wanasema hawana cha 70k..
View attachment 2764915
TTCL miyeyusho yao ni ipi mkuu?? network yana speed si zipo poa au??? manake mtaani kwetu jana wamepitisha izo fiber bado tu kuconnect router tuanze kutumia so i think by tomorrow watakuja kumalizia kufunga manake leo sikukuu.Bei chee itategemea na eneo ambalo upo.
Kama upo DSM maeneo ya Sinza, Masaki, Mbezi, Kawe nk. Huko kuna Fiber ambazo vifurushi vyao ni kuanzia 70K na installation haizidi 200,000
Maeneo hayo pia hata TTCL wapo na wana package za 55K ila sijawaweka kipaumbele kwasababu ni miyeyusho. Hawaaminiki.
Tofauti na hapo hakuna kifurushi cha unlimited unachoweza kupata below 70K
Kama ni ushauri ni bora ukatafuta 110K uchukue Router ya Airtel yenye 30Mbps ambapo baada ya mwezi utaweza kununua package ya 70K kama 110K inakuwa ngumu ku afford.
Ila kama ukiwa maeneo ya biashara una ofisi yako basi unaweza ku share na majirani zako wakawa wanakulipa buku buku ambazo utakuwa unalipia kifurushi mwisho wa mwezi.
Bora supakasi kuliko manyaya ya TTCLTTCL miyeyusho yao ni ipi mkuu?? network yana speed si zipo poa au??? manake mtaani kwetu jana wamepitisha izo fiber bado tu kuconnect router tuanze kutumia so i think by tomorrow watakuja kumalizia kufunga manake leo sikukuu.