Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Wanakupa router kaka ulienda ofisi kuu au ulienda kwenye branch ?
Nilienda kwenye Branch mkuu, nikajiandikisha kila kitu pale. Ilikuwa jumatatu asubuhi, naona ni kimya mpaka leo. Wewe ulitumia siku ngapi kwani?

Na hiyo router ina maana unaweza ukaichukulia tu ofisini kwao??? Nina mpango wa kuenda kesho, kuulizia
 
Nilienda kwenye Branch mkuu, nikajiandikisha kila kitu pale. Ilikuwa jumatatu asubuhi, naona ni kimya mpaka leo. Wewe ulitumia siku ngapi kwani?

Na hiyo router ina maana unaweza ukaichukulia tu ofisini kwao??? Nina mpango wa kuenda kesho, kuulizia
Mimi nilienda vodacom kinondoni moroco pale nikapewa kila kitu siku hiyo hiyo niasepa zangu mtaani na router yangu
 
Screenshot_2023-10-05-17-07-40-117_com.instapro.android-edit.jpg
 
Leo nimekwenda voda shop pamoja na airtel.

Airtel wameniambia hawana router ya 70,000 unlimited
Unlimited ni 11,5000
Ila nilipowabana sana na maswali nikagundua janja janja nyingi hawana unlimited wanatoa GB 66 kwa mwenzi..


Vodacom wao wanatoa 4G router kwa 115k
20MB/S maximum.

Ila 5G wanatoa 30MB/S ni maximum tokana na pesa uliyolipia,ukitaka hata 200MB/S unapata ni pesa yako tu kama uko na router ya 5G.

Airtel wanauza packages
Vodacom wanauza Speed.

Nimejaza fomu ya voda,wacha nisikilizie account itoke.
 
Leo nimekwenda voda shop pamoja na airtel.

Airtel wameniambia hawana router ya 70,000 unlimited
Unlimited ni 11,5000
Ila nilipowabana sana na maswali nikagundua janja janja nyingi hawana unlimited wanatoa GB 66 kwa mwenzi..


Vodacom wao wanatoa 4G router kwa 115k
20MB/S maximum.

Ila 5G wanatoa 30MB/S ni maximum tokana na pesa uliyolipia,ukitaka hata 200MB/S unapata ni pesa yako tu kama uko na router ya 5G.

Airtel wanauza packages
Vodacom wanauza Speed.

Nimejaza fomu ya voda,wacha nisikilizie account itoke.
Airtel shop uliyekutana naye ni novice i.e mgeni wa haya mambo...

Router wanazotoa ni za unlimited... Na hii business wanadili nayo makao makuu tuu kwa sasa, kule Moroko. Hata aloniletea mimi router asubuhi alipita kwanza huko makao kuchukua makao ndipo akaja kwangu..

Voda na Airtel wote wana vifurushi category 2, EntepriceBusiness na Retail/Home.

Enteprice, unapewa router bure, ila router inakuwa mali ya kampuni na inatakiwa isihame hame. Pia kwa Airtel vifurushi vya Enteprice vinaanzia 110k.

Retail, router unanunua na inakuwa mali yako. Kwa Airtel vifurushi vinaanzia 70k. Router za Airtel wanauza 200k, router za Voda zipo za 650k na 950k.
 
Leo nimekwenda voda shop pamoja na airtel.

Airtel wameniambia hawana router ya 70,000 unlimited
Unlimited ni 11,5000
Ila nilipowabana sana na maswali nikagundua janja janja nyingi hawana unlimited wanatoa GB 66 kwa mwenzi..


Vodacom wao wanatoa 4G router kwa 115k
20MB/S maximum.

Ila 5G wanatoa 30MB/S ni maximum tokana na pesa uliyolipia,ukitaka hata 200MB/S unapata ni pesa yako tu kama uko na router ya 5G.

Airtel wanauza packages
Vodacom wanauza Speed.

Nimejaza fomu ya voda,wacha nisikilizie account itoke.
Vodacom raha sana kuliko jamaa wengine ni kausha damu
 
Leo nimekwenda voda shop pamoja na airtel.

Airtel wameniambia hawana router ya 70,000 unlimited
Unlimited ni 11,5000
Ila nilipowabana sana na maswali nikagundua janja janja nyingi hawana unlimited wanatoa GB 66 kwa mwenzi..


Vodacom wao wanatoa 4G router kwa 115k
20MB/S maximum.

Ila 5G wanatoa 30MB/S ni maximum tokana na pesa uliyolipia,ukitaka hata 200MB/S unapata ni pesa yako tu kama uko na router ya 5G.

Airtel wanauza packages
Vodacom wanauza Speed.

Nimejaza fomu ya voda,wacha nisikilizie account itoke.
Huyo uliemkuta Airtel nadhani labda mgeni au hamkuelewana. Maana nina kama wiki 2½ natumia Airtel unlimited ya 70,000 na tayari nimetumia almost 300GB.
 
Nimewapenda Airtel kwenye mfumo wao wa malipo.

Hakuna haja ya kulazimishana siku nikijiskia kulipia nalipa na kutumia.

Yale maswala ya kuandikiana madeni kwenye huduma ambayo sijatumia ni aina mpya ya unyonyaji.
Process za kuipata hiyo mkuu ipoje? Wanataka uwe na nyaraka gani? Na nikienda Airtel shop labda ya mkoa naweza ipata siku hiyo hiyo au kuna kusubiria?
 
Airtel shop uliyekutana naye ni novice i.e mgeni wa haya mambo...

Router wanazotoa ni za unlimited... Na hii business wanadili nayo makao makuu tuu kwa sasa, kule Moroko. Hata aloniletea mimi router asubuhi alipita kwanza huko makao kuchukua makao ndipo akaja kwangu..

Voda na Airtel wote wana vifurushi category 2, EntepriceBusiness na Retail/Home.

Enteprice, unapewa router bure, ila router inakuwa mali ya kampuni na inatakiwa isihame hame. Pia kwa Airtel vifurushi vya Enteprice vinaanzia 110k.

Retail, router unanunua na inakuwa mali yako. Kwa Airtel vifurushi vinaanzia 70k. Router za Airtel wanauza 200k, router za Voda zipo za 650k na 950k.
Mkuu 200K ni connection fee au security deposit sio bei ya Router

Hizi Router zinauzwa bei ghali zaidi ya hapo

Atakuwa alijichanganya kukuelezea tu huyo mtoa huduma
 
Airtel wameniambia hawana router ya 70,000 unlimited
  • Hamkuelewana lugha na mtoa huduma.
  • Ni kweli hawana router za TZS. 70,000

    Bali TZS. 70,000 ni ghalama ya 10Mbps kwa mwezi. (Hii ndio plan ya bei ya chini).
    Unapewa router kwa initial cost ya TZS. 200,000, kwa sharti la kulipia 10Mbsp (TZS. 70,000) kwa kila mwezi, iwapo 10mps inakidhi mahitaji yako.
    1696567929441.png
 
Wazee starlink inatumika fresh bongo una agiza kenya hapa unafunga unakula raha fresh kama unavyo ona inavyo tumika dishi la canal
 
Back
Top Bottom