Tigo kila siku wanapunguza mpb. Labda cha usiku cha 1500 two day Gb 4 kuanzia saa 5 usiku-11 asubuhiWatumiaji wa tigo, ni bando gani la internet la bei rahisi na angalau lina mb nyngi
inategemea na quality, quality ya kawaida ya 360p unaangalia vizuri, quality ndogo hadi mechi 3 utaangalia na hizo mb. ila quality kubwa kama full HD (quality kubwa kushinda dstv), mechi moja unaweza tumia hadi 2GB.waungwana...hivi nikiwa na 1gb naweza kuangalia mpira kwenye online tv mwanzo hadi game ikaisha kifurushi hakijakata?
Tigo kila siku wanapunguza mpb. Labda cha usiku cha 1500 two day Gb 4 kuanzia saa 5 usiku-11 asubuhi
Au cha whatsapp + facebook for 2000 per month
ikoje hiyo?mi airtel yangu kwa 500 napewa 1.2 GB saa 24
Ingiza vocha kisha bonyeza *149*81#, fuata maelekezo.ikoje hiyo?
Mkuu vp nami nahitaji mzee baba hiko cha halotelUnganishwa na vifurush vya miezi mitatu. *Vodacom* *Airtel* na *Halotel* Pata dakika 1200 mitandao yote. SMS 5000 na 10GB kwa *VODACOM* Kwa Shillingi 8,000 *Airtel* na *Halotel* Pata dakika 750 mitandao yote, SMS 5000 na 10 GB kwa Shillingi 6000.
For inquiries njoo inbox.
"Ideas are easy but Implementation is hard."
Kwa mtandao gani?!Habari. Bando zetu ni,
Tsh700= 10GB, Siku 3 (USIKU TU)
Tsh1,100= 2GB, dk 110, SMS, Siku 3
Tsh 1,600= 1GB, dk 150, SMS, Wiki 1
Tsh6,500= 4GB, dk 500, SMS, Mwezi 1
Namba ya System zetu ni 0788315655 jina Edwin kiwale
Sent using Jamii Forums mobile app
MJUKUU WA CHIEF nimemfata pm kama wiki mbili zimepita hajanijibuZero unit hatoi mrejesho maana mtu asije akapigwa za mbavu chap , hamna alie unganisha na offa izi za 3 monthly
Ok...me nko mara naweza ipata pia 3g/4g ake hukuWakuu tafuteni Ttcl ya chuo iko vizuri sana kama una simu ya 4G spidi nzuri na Mb za kumwaga.
Aisee sijajua huko kama wamefika.Ok...me nko mara naweza ipata pia 3g/4g ake huku
Unganishwa na vifurush vya miezi mitatu. *Vodacom* *Airtel* na *Halotel* Pata dakika 1200 mitandao yote. SMS 5000 na 10GB kwa *VODACOM* Kwa Shillingi 8,000 *Airtel* na *Halotel* Pata dakika 750 mitandao yote, SMS 5000 na 10 GB kwa Shillingi 6000.
For inquiries njoo inbox.
"Ideas are easy but Implementation is hard."
0785319003Naomba no ya huyo balozi mkuu na jinsi ya kumtafuta
Sms hii hapa nimeicopy na kuipaste hapa[emoji652]Naomba no ya huyo balozi mkuu na jinsi ya kumtafuta