Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Nape ni kichaaVifurushi vya kasi internet toka jumatatu avipatikani waziri wa mawasiliank mpango wala kujua nini kinaendelea yuko busy kufungia vpn
Umebakiza ngapi spaceSiuzi natumia mkuu
Soon nachukua kaka sijatulia badoView attachment 2787283
Vuta hii kaka
Tb 1Umebakiza ngapi space
Kwan unahifadhi na nyara za serikali kakaπTb 1
Inasaidia sana hiyo kaka mie naangaliziaga hadi azam tv maxSoon nachukua kaka sijatulia bado
Nina file za movie na warumi. Na magemu kaka kama yote yaani kila series ninayoKwan unahifadhi na nyara za serikali kakaπ
Inasaidia sana hiyo kaka mie naangaliziaga hadi azam tv
Anza kutafuta nyingine sasa ya TB 6Nina file za movie na warumi. Na magemu kaka kama yote yaani kila series ninayo
Saiv nacheza sana magemuAnza kutafuta nyingine sasa ya TB 6
Hata hizi unlimited za akina Airtel anakuja kuzifungia ili kulinda soko la TTCLVifurushi vya kasi internet toka jumatatu avipatikani waziri wa mawasiliank mpango wala kujua nini kinaendelea yuko busy kufungia vpn
Hata hizi unlimited za akina Airtel anakuja kuzifungia ili kulinda soko la TTCL
Nimeishiwa vituko π€£Sijajua anashinda jukwaa gani siku hizi ili tulikuwa wote kule vituko mtandaoni nadhani kapunguza kushinda Jf
uje basi uwe unaangalia kama mimiπππNimeishiwa vituko π€£
Charles kilian ameenda somo kwa ajili yako naomba umtafuteππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ mbona hasara za postpaid
πCharles kilian ameenda somo kwa ajili yako naomba umtafuteπππ