Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

TTCL ndio ana Mkonga, Wengine pia wananunua TTCL.

Upo sahihi to a degree kwa sasa Airtel ina operate mkongo wake unaoitwa 2Africa. Ttcl inasimamia ule wa zamani wa SEACOM. Tigo kwa kununua Zantel wanaooperate (pamoja na TTCL kwa kuwa nao ni investors) mkongo wa Eastern African Submarine Cable System (EASSy).

Japo kwa sasa wanaweza kuwa wanatumia huo wa SEACOM lakini siku zinavyokwenda wakisambaza wa kwao naona wataachana nao.



 
Upo sahihi to a degree kwa sasa Airtel ina operate mkongo wake unaoitwa 2Africa. Ttcl inasimamia ule wa zamani wa SEACOM. Tigo kwa kununua Zantel wanaooperate mkongo wa Eastern African Submarine Cable System (EASSy).

Japo kwa sasa wanaweza kuwa wanatumia huo wa SEACOM lakini siku zinavyokwenda wakisambaza wa kwao naona wataachana nao.



Mkuu wewe unaongelea undersea Cable, Mkonga ni Fiber ambazo zimetandazwa Nchi nzima zinaunganisha na Nchi jirani na Bahari.

map.jpg

Ramani ya Mkonga wa Taifa.

Mitandao ya Simu yote inatumia Mkonga, wanaconnect fiber zao na huo Mkonga kupunguza gharama. Pia wao wanawekeza pia kwenye hii project kutandaza Fiber maeneo ambayo Mkonga haujafika.
 
Fiber ya TTCL ni free hakuna gharama zozote

Labda utoe tu kama rushwa ili kuharakisha mchakato maana tunajua jinsi wanavyo sumbua.

Awali gharama zilikuwepo Ila 2021 walikuja na policy mpya ya #faibamlangonimwako kusambaza internet kila kona ya Tanzania bureee.

TTCL wakaingia makubaliano na TANESCO ya kushea miundombinu ili kuwafikia watu wengi kupitia nguzo za TANESCO.

Ila mpaka uipate hiyo service yao kuna mambo ya kuzingatia

1. Ni eidha uwe unatoka mitaa ambayo tayari kuna coverage yao.

2. Mitaa unayotokea kuwe kuna kiongozi mkubwa maarufu au

3. Au uende ofisini kwao pengine sura yako ikawa inafanana na Kigogo yeyote mkubwa na wewe ukanufaika kwa hilo.
Dah, hizi options zinakatisha na tamaa kabisa
 
Mkuu wewe unaongelea undersea Cable, Mkonga ni Fiber ambazo zimetandazwa Nchi nzima zinaunganisha na Nchi jirani na Bahari.

View attachment 2788513
Ramani ya Mkonga wa Taifa.

Mitandao ya Simu yote inatumia Mkonga, wanaconnect fiber zao na huo Mkonga kupunguza gharama. Pia wao wanawekeza pia kwenye hii project kutandaza Fiber maeneo ambayo Mkonga haujafika.
Sasa mkuu kwa nini haya makampuni ya simu kama vile Airtel,Voda,Tigo,etc hawatoi huduma ya fiber kama vile wanavyofanya TTCL?
 
Gb 6.5 Kwa buku 9
Gb 5.5 buku 7
Gb 8 Kwa buku 12000
[emoji115][emoji115][emoji115]

Tigo tu na Kwa muda WA wiki 2
 
Mkuu wewe unaongelea undersea Cable, Mkonga ni Fiber ambazo zimetandazwa Nchi nzima zinaunganisha na Nchi jirani na Bahari.

View attachment 2788513
Ramani ya Mkonga wa Taifa.

Mitandao ya Simu yote inatumia Mkonga, wanaconnect fiber zao na huo Mkonga kupunguza gharama. Pia wao wanawekeza pia kwenye hii project kutandaza Fiber maeneo ambayo Mkonga haujafika.

Chief naomba msaada wako hapa,nina smart tv android huwa naunganisha na hotspot ya iphone natumia Airtel 4G changamoto internet ipo slowa sana japo n 4G nashindwa hata ku stream maana contents zinakwama kwama kla saa kama jana mechi ya Arsenal vs Chelsea nlishindwa kuangalia..nitumie mbinu gani ku solve hii changamoto?
IMG_2915.png
 
Back
Top Bottom