Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Mkuu mi nimetumia TTCL Adsl zaidi ya mwaka inastream na 4mbps, hapo cha muhimu tafuta streams ambazo zinaenda na Quality yako.

Netflix, Amazon prime, Dstv now na youtube uhakika zinapiga kazi na 4mbps kwa HD ya kawaida 720p.

Kwa app za Kuchakachua Football tv ilikua inafanya kazi wana Quality ya sd sema naona siku hizi inazingua sometime inafanya sometime inazingua. Sema kwa smart tv utahitaji Bluetooth mouse ama mouse ya kawaida ku navigate.

Pia stremio kama unajua Kuchagua bit rate inapiga kazi kuangalizia movies na hio speed...

Kwa wewe mkuu jisajili mwenyewe mobilism updates utazipatia huko huko app ni hii


Njia nyengine ni kununua iptv service ambayo ina sd/HD ya kawaida yenye bitrate ndogo halafu tumia tivimate (ipo playstore) kuplay. Unazipata Aliexpress/Alibaba around 20k-40k kwa mwaka, ama kama hujali lugha service za warusi ni hadi $0.5 kwa mwezi.
 
Leo ndio ilikuwa mwisho wa kifurushi changu.

Wakati wa kununua kifurushi kingine nikasema ngoja niangalie kama kile cha 70K kitakuwepo.

Aisee kwenye menu sijakutana na kifurushi cha 70K, kifurushi cha chini ni 110K.

Japo lengo langu lilikuwa kuunganisha package ya 110K lakini nilichukia kuona nimedanganywa.

Nikampigia simu aliyeniunganisha bahati mbaya simu yake haijapatikana.

Namsikilizia arudi hewani ajibu maswali yangu maana ningekuwa sina hela ya ziada alikuwa amenifelisha.
 

Natumia App ya Sportsfire ndyo inakwama kwama..hiyo Dstv now si unatakiwa kulipia tena hela nyingi sana ili uweze kuona mechi za EPL?
 
Hii nchi imejaa Mapaka kila mahali,fikiria kuwa unajaza vizuri fomu ya 70,000 kwa mwezi kumbe ni kifurushi hewa😁😁😁
 
Natumia App ya Sportsfire ndyo inakwama kwama..hiyo Dstv now si unatakiwa kulipia tena hela nyingi sana ili uweze kuona mechi za EPL?
Mtu akiwa na Dstv anaweza share na watu 4 kama sijakosea, na Dstv compact ya 60,000 unaona mpira. So kama una connection na mtu anakupa bure ama unampoza kidogo.

Pia dstv unaangalia chochote kilicho onesha na Dstv kuna movies na series kibao zinabadilika kila siku sio lazima uangalie live.

Kama android tv yako ina option ya kutoggle mouse kwenye remote test hio football tv nilioweka juu
 
Hii nchi imejaa Mapaka kila mahali,fikiria kuwa unajaza vizuri fomu ya 70,000 kwa mwezi kumbe ni kifurushi hewa😁😁😁View attachment 2789199
We ngoja uzuri tulichukuwa wawili kwa muda unaopishana.

Ya mwenzangu inaisha wiki ijayo na ana mahesabu ya kununua package ya 70K, na mimi mpoka sasa sijamuambia nilichokutana nacho.

Ila kitachofanyika atapigiwa simu huyo team leader aje tumkanidhi 70K anunue yeye.

Pengine kuna namna yake anayoijua yeye na ikigoma tu lazima atueleze kwanini alituongopea wakati tulimsisitizia na yeye akatuhakikishia.
 
Hii nikipata napiga chini kwanza PS halafu naanza kufownload games upya kama majaribio.

Unlimited, Unlimited kweli au kuna kipimo. [emoji23]
Hata mi nilikuwa na mawazo kams yako lakini saizi hata mzuka nayo sina.

Ni kama mindset za kitoto kipindi huna una njaa unajisemea moyoni "nikipata hela nitanunua maandazi na mapipi nijilie mpaka basi"

Siku ulipata hela hata hamu ya maandazi huna
 

Shukran sana japo kuna siku jamaa kanipa Dstv account mm nikiingia kama yeye kaingia inamtoa,siku hz hawaruhusu zaidi ya mmoja.
 
Upo sahihi naona wameweka karibuni,

Kwa mwezi unacheki kama masaa mangapi ya online tv?

Mara nyingi ni siku za wikiend zenye mechi kali hasa UEFA na EPL kama jana na sio mechi zote,ligi ya NBC natumia king’amuzi cha AZAM,hivyo kwa kukadiria kwa wiki labda masaa 8 hvyo kwa mwezi tukadirie iwe masaa 32.
 
Wakati naungwa na yule sister, kuna mahali wanachagua pale kwenye portal yao either "Retail" au "Enteprise"....

Ukiwekwa kwenye enteprise tu jua minimum ni 110k...

Hao ndo wanaowaharibia Airtel, ikiwezekana muambie wazi unaenda kumripoti ili akuweke kwenye Retail..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…