Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #8,361
Ngoja nifuatilie, kama inashika 4G pia na hawalimit router sio mbaya.Piga *147*00# chagua number 8 kisha chagua 1 5g package kuna ya 70 k kuna ya laki 1 k kuna ya laki 2
70 k speed Mps 10
Laki moja k ni Mps 20
Laki mbili ni Mps 100
Ni kwaajili ya router tu?Piga *147*00# chagua number 8 kisha chagua 1 5g package kuna ya 70 k kuna ya laki 1 k kuna ya laki 2
70 k speed Mps 10
Laki moja k ni Mps 20
Laki mbili ni Mps 100
Hivi vifurushi nili update app yao ya tigo pesa nikaviona pia...Nimeona kwenye twitter
Bila routerNi kwaajili ya router tu?
Bila routerNi kwaajili ya router tu?
Vipi umejaribu kutumia hivi vifurushi ni unlimited navyo? Halafu sijaelewa hapo naona speed wameandika Mps ina tofauti na wanavyotoa Airtel Mbps?Bila router
Nimeenda ofisini kwao wanataka Ununue router laki 6 kupata hivyo vifurushi. Umehakiki ukiunga kawaida inakubali?Bila router
Sema mtandao wao umekuwa hovyo siku hiziTigo nao wamekuja na package za 5g unlimited ππππ
Hapa TiGo, Wamefanya kosa kubwa sana la kiufundi. Ilipaswa wajifunze kwa walio tangulia Airtel/VodaUnunue router laki 6 kupata hivyo vifurushi.
Kumbe mi huduma kwa wateja waliniambia bila routerNimeenda ofisini kwao wanataka Ununue router laki 6 kupata hivyo vifurushi. Umehakiki ukiunga kawaida inakubali?
Chief out of mada kidogoNimeenda ofisini kwao wanataka Ununue router laki 6 kupata hivyo vifurushi. Umehakiki ukiunga kawaida inakubali?
unaipataje hii mkuu
nipe connection nijiunge mkuuHuduma ipo me nimeungwa wiki sasa
Wanasema kwasasa huduma imesitishwa kwa wateja wanaotaka kujiunganipe connection nijiunge mkuu
Tigo ni wezi,watawaliza wengiTigo nao wamekuja na package za 5g unlimited ππππ
One tera na upuuzi=
- Matandao | Airtel
- Package | 10Mbps
View attachment 2823002
Hadi Muda huu (24.11.2023) nimetumia | 412GB
Hii ndio midosho ya kiwizi kutoka Voda ambayo bado mi siielewi.Ninatumia supakasi ya voda sasa nina mda kidogo sijailipia, hapa nafanyaje kujua deni langu? Na utaratibu wa malipo ni upi
Wasnge wangekufa njaa walikuwa wanajidai wana mikazo haya sasa kiko wapi?Nimeona kwenye twitter
Hivi ni vifurushi kwa simu au kwa Router?Piga *147*00# chagua number 8 kisha chagua 1 5g package kuna ya 70 k kuna ya laki 1 k kuna ya laki 2
70 k speed Mps 10
Laki moja k ni Mps 20
Laki mbili ni Mps 100
Nitaka nishangae yani zawadi ya godoro kwa mlinzi mbona haiendani kabisaNimeenda ofisini kwao wanataka Ununue router laki 6 kupata hivyo vifurushi. Umehakiki ukiunga kawaida inakubali?