Shukrani sana chiefIn Theory yes mkuu, sema speed ni up to, hawa guarantee kama utapata yote 30mbps. Assume eneo lako halina 5G unapata 4G, tena ya kuvizia unaweza shangaa unapata 2mbps ama 5mbps tu.
Ushauri akija huyo Bi dada kama ana router ya kutestia cheki kabisa signal kama inakamata 5G na speed ni kiasi gani. Kuna utofauti baina ya mitandao ya simu na Fiber linapokuja suala la kupata speed unayolipia.
Hapana ni kifurushi cha 110KUliunga kile cha 70000 je speed yake inafaa kustream online tv huku umeshare na wenzio?? Nataka niwakimbie hawa fiber router yao imeharibika wananizingua kuniletea nyingine
Mkuu kwa fiber speed ni nzuri zaidi kuliko mitandao ya simu?Kuna utofauti baina ya mitandao ya simu na Fiber linapokuja suala la kupata speed unayolipia.
Samahani mkuu naomba mtu anayeuza hizi device akaniletea leo ...dada niliyemuagiza naona analeta longo longo.Hapana ni kifurushi cha 110K
Kifurushi cha 70K bado hakionekani kwa sisi tuliotumia Leseni na Tin
Kuna mdau humu alisema ameongea na customer care wakamuambia kifurushi cha 70K kitakuwa activated baada ya miezi mitatu ya kulipia.
Lakini miezi mitatu mi nimeimaliza na sijaona labda kama hawahesabii ule mwezi wa kwanza unapounganishwa.
Reliability ni kubwa mkuu, mfano Zuku 70,000 unapata 10mbps ila Wana offer ukiwa unalipa kwa wakati wanakupa 20mbps, hii ina maanisha capacity yao ni kubwa, haijajaa so wanatoa tu offer za speed.Mkuu kwa fiber speed ni nzuri zaidi kuliko mitandao ya simu?
+255 685 503 314Samahani mkuu naomba mtu anayeuza hizi device akaniletea leo ...dada niliyemuagiza naona analeta longo longo.
Asante mkuu.huyo wa kwanza kaniambia nisubiri mpaka kesho inaonekana demand imekuwa kubwa+255 685 503 314
+255 769 489 149
+255 683 046 596
+255 688 070 855
mimi nilienda mlimani wakanambia router laki sita alafu mwezi wa kwanza utapewa unlimited bandwidth then next month utachagua package... kwa upande wangu ela ilikua kubwa sana nikasogea mlango wa mbele nimechukua airtel kwa 270k... Kwa mahitaji yangu naona airtel wako vizuri.Nimeenda ofisini kwao wanataka Ununue router laki 6 kupata hivyo vifurushi. Umehakiki ukiunga kawaida inakubali?
75ms south inajitahidi.mimi nilienda mlimani wakanambia router laki sita alafu mwezi wa kwanza utapewa unlimited bandwidth then next month utachagua package... kwa upande wangu ela ilikua kubwa sana nikasogea mlango wa mbele nimechukua airtel kwa 270k... Kwa mahitaji yangu naona airtel wako vizuri.
Tigo bado sjaelewa wametarget kina nani kwenye hiyo huduma yao, haiwezekani uwe wa mwisho kuleta product ile ile alafu uwe na masharti magumu75ms south inajitahidi.
Airtel ulikua mTandao wa Hovyo ila hii comeback yao ya 5G, SME na Unlimited package wamewapiga bao Voda na Tigo.
Acha Tigo wasubirie hao wateja wao wa laki 6 tuone.
Halotel saizi naskia wanatoa 4GB kwa 5K[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]View attachment 2833276 Vodacom hao
Afadhali hata Voda wanatarget wa fanya biashara masharti magumu (uwe na leseni na Tin) ila installation bure. Maybe kuna mtu katoa maamuzi kwa kukurupuka, baadae akili itawakaa sawa watabadili hayo maamuzi.Tigo bado sjaelewa wametarget kina nani kwenye hiyo huduma yao, haiwezekani uwe wa mwisho kuleta product ile ile alafu uwe na masharti magumu
Watajitafakari tuAfadhali hata Voda wanatarget wa fanya biashara masharti magumu (uwe na leseni na Tin) ila installation bure. Maybe kuna mtu katoa maamuzi kwa kukurupuka, baadae akili itawakaa sawa watabadili hayo maamuzi.
.
5G zote Tanzania kwa uelewa wangu zinatumia Band moja, so Hakuna advantage yoyote ya maana baina ya mtandao mmoja na mwengine unachagua tu yenye bando la bei rahisi.
Dokezo | Mwambie akupe location wewe umfuate, Mimi ndio nilichokifanya, Kumbuka hao huwa wanatoka sehemu moja kwenda nyingine kutoa huduma, Mawasiliano yafanyike mapema asubuhi ili timming iwe nzuri.Asante mkuu.huyo wa kwanza kaniambia nisubiri mpaka kesho inaonekana demand imekuwa kubwa
75ms south inajitahidi.
Airtel ulikua mTandao wa Hovyo ila hii comeback yao ya 5G, SME na Unlimited package wamewapiga bao Voda na Tigo.
Acha Tigo wasubirie hao wateja wao wa laki 6 tuone.
nilienda airtel shop kuna dada nilimuliza siku nalipia nikamwambia mbona wengine cha 70k hakipo.. alinijibu walioungwa na agent wanaungwa na kuwa activated tofauti ko cha chini kwao sio 70kHapana ni kifurushi cha 110K
Kifurushi cha 70K bado hakionekani kwa sisi tuliotumia Leseni na Tin
Kuna mdau humu alisema ameongea na customer care wakamuambia kifurushi cha 70K kitakuwa activated baada ya miezi mitatu ya kulipia.
Lakini miezi mitatu mi nimeimaliza na sijaona labda kama hawahesabii ule mwezi wa kwanza unapounganishwa.
Kununua Router za Tigo na Voda 600k hadi 850k sio tatizo.
Tatizo ni huduma ikianza kuwa mbovu unataka kuhama mtandao, ile lock ya mtandao mmoja ndio changamoto. Maana baada ya kuhama inakuwa haina utofauti ni vile virouter vya
nenda airtel shop ili usipate changamoto ya ile menu ya 70k kutonekana kama unataka ulipie mbps 10.. airtel pale unatumia dakika kumi tu na mlimani wanafunga saa mbili usikuSamahani mkuu naomba mtu anayeuza hizi device akaniletea leo ...dada niliyemuagiza naona analeta longo longo.