Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Nishawahi kuona jamaa amepost kwenye status ikionesha mteja aki unbox hiyo Router tena 5G na moja ya vitu ambavyo vilikuwemo kwenye box ilikuwa ni pamoja na Power bankRouter za 5g kutoka boda hazina power bank labda zile za 4g
Nimemuuliza swali tena kama msisitizo ngoja akijibu hapa nitaleta mrejesho.