last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,728
- 3,980
Umepigaje hapo,,,tupe connection mkuu[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]View attachment 2833276 Vodacom hao
Huyo dada alikuambia kifurushi cha chini sio 70K labda kama wao wamejidhatiti kuunganisha wateja wa enterprises pekeenilienda airtel shop kuna dada nilimuliza siku nalipia nikamwambia mbona wengine cha 70k hakipo.. alinijibu walioungwa na agent wanaungwa na kuwa activated tofauti ko cha chini kwao sio 70k
Haya maisha haya we yaache tu yani hapa tulipofikia panatisha sanaUmepigaje hapo,,,tupe connection mkuu
Nenda na mdundo mzeeHaya maisha haya we yaache tu yani hapa tulipifikia panatisha sana
Yani bando la 3GB kwa buku 5 limeitwa connection.
Mimi nimemtafuta MD wao twitter saivi nimepata line yangu bila kununua router napiga mzigo vizuri tuRouter za 5G ni ghali, hizo za 4G unapata kwa 50K huko Tigo.
Hapo watoe tu huduma ya vifurushi router tutafute wenyewe, ama walete modem za 5G za bei rahisi tuchomeke kwenye router zetu, kutupangia router ya bei parefu.
Unapata bando za unlimited?Mimi nimemtafuta MD wao twitter saivi nimepata line yangu bila kununua router napiga mzigo vizuri tu
Yeah bundle unlimited. Wanakupa line ya data na line yako kuu ya tigo wanai configure ipate message ya salio la data ya line unayoiweka kwenye CPEUnapata bando za unlimited?
Shukrani mkuu nishaletewa tayarii.Dokezo | Mwambie akupe location wewe umfuate, Mimi ndio nilichokifanya, Kumbuka hao huwa wanatoka sehemu moja kwenda nyingine kutoa huduma, Mawasiliano yafanyike mapema asubuhi ili timming iwe nzuri.
Speed test mkuu usisahauMimi nimemtafuta MD wao twitter saivi nimepata line yangu bila kununua router napiga mzigo vizuri tu
Vifurushi vinaanzia bei gani?Yeah bundle unlimited. Wanakupa line ya data na line yako kuu ya tigo wanai configure ipate message ya salio la data ya line unayoiweka kwenye CPE
Kukiwa na competition siku zote mshindi ni mteja.Naona masharti yanaelegezwa kidogo... tutaelewana tu View attachment 2834822
Sema Voda walitakiwa waje nahii strategy toka mwanzo ili waliteke soko.. Ila walikuja kwa bei za juu. Leo amepatikana mpinzani ndio wanakumbuka strategy kama hizi.Kukiwa na competition siku zote mshindi ni mteja.
Kwa capacity ya 5G sitashangaa mbeleni zikashuka hadi 50,000 hizi Unlimited.
Voda nao Router zao zina power bank ila sijajua zinadumu kwa muda ganiSema Voda walitakiwa waje nahii strategy toka mwanzo ili waliteke soko.. Ila walikuja kwa bei za juu. Leo amepatikana mpinzani ndio wanakumbuka strategy kama hizi.
Acha Airtel asepe na kijiji, kwanza router zao zina power bank hii nimoja ya advantage kwa mazingira yetu ya bongo na umeme wetu huu.
Voda wana Target wafanyabiashara, bei ni hio hio toka zamani, sema tu uwe na Tin na leseni.Sema Voda walitakiwa waje nahii strategy toka mwanzo ili waliteke soko.. Ila walikuja kwa bei za juu. Leo amepatikana mpinzani ndio wanakumbuka strategy kama hizi.
Acha Airtel asepe na kijiji, kwanza router zao zina power bank hii nimoja ya advantage kwa mazingira yetu ya bongo na umeme wetu huu.
Router za 5g kutoka voda hazina power bank labda zile za 4gVoda nao Router zao zina power bank ila sijajua zinadumu kwa muda gani
Router ya Airtel power bank yao inakaa masaa kumi
Hii ni experience yangu niliijaribu mwenyewe
Voda wakifika 50 chap naruka nao aisee.Kukiwa na competition siku zote mshindi ni mteja.
Kwa capacity ya 5G sitashangaa mbeleni zikashuka hadi 50,000 hizi Unlimited.
Hiyo laini unalipa bei gani kwa mwezi kakaMimi nimemtafuta MD wao twitter saivi nimepata line yangu bila kununua router napiga mzigo vizuri tu
Kuna mdau alisema Sinza Wana fiber ya Voda kwa 55K,Voda wakifika 50 chap naruka nao aisee.
Internet imekua ni sehemu ya maisha sasa