Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
hakina dakika ndani yake?[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]View attachment 2833276 Vodacom hao
Nikajua umetumiwa hiyo screenshot na jamaa wako anayetumia net ya starlinkNimewasha vpn kaka
VPN tena?Hapa tunatumia zaidi ya watu 700 hii ndo speed yake mie nimeifosi na vpnView attachment 2836103
Hapo mmetishaView attachment 2836140
Hapa watu wamepungua tupo 3 sasa
Oya link wapi leo game la medeama wakienda kuchapa uto..wanaonyesha steshen gan kule yacime tv?Hapo mmetisha
Ukiwa unatumia Yaccine app unatakiwa uwe unaenda kwenye live event kule ndio utaoneshwa channel itayorusha mechi.Oya link wapi leo game la medeama wakienda kuchapa uto..wanaonyesha steshen gan kule yacime tv?
Tumia vpn ya kulipia kaka izi za free nyingi jauVPN tena?
Mbona mi nikiwasha VPN ndio napata speed ndogo
Umetisha kijana wanguUkiwa unatumia Yaccine app unatakiwa uwe unaenda kwenye live event kule ndio utaoneshwa channel itayorusha mechi.
View attachment 2836276
Hii kweli mkuu au janja ya sungura??hela ngum mm nabeba tofar kaz saidia fund ela yang ngumu mnooo kaz za ajabajab
Za kulipia mimi nazipataga kwa crack lakini bado speed yake haijawahi kuwa sawa na speed ambayo naipata bila VPNTumia vpn ya kulipia kaka izi za free nyingi jau
Za crack jauZa kulipia mimi nazipataga kwa crack lakini bado speed yake haijawahi kuwa sawa na speed ambayo naipata bila VPN
View attachment 2836287
AwapiZa crack jau
Proton VPN dollar 5 tu kakaAwapi
Huyo agent anajibu kama yupo kijiweni
Kwa bando la jero tu napata Proton VPN premium https://files.modyolo.com/Proton VPN/Proton v4.1.83.0 [PREMIUM]-X.apkProton VPN dollar 5 tu kaka
Anafanya utani huyu nadhani amekasirika kwasababu sijamuungisha huduma yake.Huyo agent anajibu kama yupo kijiweni
Nimekwama kule kaka naona sipati link ya kupakuaKwa bando la jero tu napata Proton VPN premium https://files.modyolo.com/Proton VPN/Proton v4.1.83.0 [PREMIUM]-X.apk
Ni kweli. Nakupa na File la ku-test kwanza. Ukiridhika unalipia then nakupa File kamili.Hii kweli mkuu au janja ya sungura??hela ngum mm nabeba tofar kaz saidia fund ela yang ngumu mnooo kaz za ajabajab
Nilisitisha mkataba nao na nikala buyu
Asante sana mkuu, kumbe life simple hivi?😋😋Kwa bando la jero tu napata Proton VPN premium https://files.modyolo.com/Proton VPN/Proton v4.1.83.0 [PREMIUM]-X.apk