Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,805
- 17,850
Si tunawahama? Kwani shida iko wapi?Yaani wamecheza kama pele...ila naomba wasije lewa sifa tu mambo yakabadilika
Yani ni mwendo wa kuwahama mpaka akili ziwakae sawa..
Huyu akizingua mnahamia kwa aliye na unafuu...