Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Shukrani sana...

Imeshakubali..
Tuenjoy hapa nmeshusha movies za kutosha ambazo nlkua nazikosa huko Torrents zingine au nlkua nakuta hazina seeders wa kuridhisha... Hapo sasa kama unatumia simu install na hii app kama unataka kudownload kwa kasi nzuri kuna settings zingine humo nyingi utundu wako wa kuchonoa utakusaidia kuboost hata speed ya kudownload torrents kwenye app.


 
Mkuu mbps 30 kwa 4g unalipia kifurushi cha shilingi ngapi?
 
Wabongo hamjui kula na vipofu na hakika haifiki xmass hii vpn itakuwa haifanyi kazi...y lakini mnashindwa kula kimya kimya yaan ume expose mpaka mtandao na vpn yakee mweeeh
Hata nikificha haitosaidia kitu kwasababu Watu wa Facebook walishairipoti Directly kwa Mtandao husika. Nachofanya ni kuwapa tu watu fursa ya kuchukua vyao Mapema bila kikomo kwa bei ya Kimwananchi.
 
Boss nimefanikiwa nimetumia kwenye simu then nikascanbarcode kwenye android tv now naenjoyView attachment 2839079
Hapa mambo ya king'amuzi unasahau kabisa...

Taarifa ya habari unaingia youtube live ya itv...

Mpira unaingia yalla shoot au unadownlaod yacine tv unaendelea kustream kwa hd kabisa✅

Kimsingi dunia ya ving'amuzi inakaribia kufika kikoma...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…