Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Mitandao ya simu speed sio kama Fiber ila reliability ni uhakika, Bora ukomae na 5G kama unaweza ku afford.
Chief asante sana kwa mwongozo. Binafsi naweza ku afford ila sikuitaka kuchagua huduma ghali sana maana sina matumizi makubwa na ni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani pekee. Otherwise nimekusoma mkuu.
 
Nimeona malalamiko ya wadau huko Insta kuhusu vifurishi vya 5g vya AirtelView attachment 2851870
Hawa jamaa mambo yao wanafanya kitanzania kabisa, hakuna uwazi, pengine hata sio kampuni unaweza kuta kulikua na ofa 70k kifurushi cha biashara mtu akabamizwa akalipia router watu wamekula hela.
 
Nataka Unlimited, kuna hii R20 4G LTE ya Vodacom ina-connect devices 32 wanauza TZS 145,000 hii itakuwa nzuri?
ZA unlimited zinakuja na vifurushi, hio model nimecheki inakuja result moja tu ya jiji una full model yake!
 
Ambayo sio unlimited data? Router yoyote itafanya hio kazi maana ndogo zaidi ni watu 10.

Piq usinunue ya Voda tafuta unlocked mitandao yote ni chini ya laki unapata
Juzi kati nilienda kutafuta Router kariakoo nikapata hii hapa kwa 110k.
Za Tp-link na Dlink zinazosupport sim card bei yake ipo juu kidogo kuanzia 150k
 
Hawa jamaa mambo yao wanafanya kitanzania kabisa, hakuna uwazi, pengine hata sio kampuni unaweza kuta kulikua na ofa 70k kifurushi cha biashara mtu akabamizwa akalipia router watu wamekula hela.
Lakini humu si kuna wadau waliokuwa wamelipia connection fee na wananunua hicho cha 70K

Vipi wadau hicho kifurushi kishaliwa kichwa mmefanya siri?

Kingsmann
 
Lakini humu si kuna wadau waliokuwa wamelipia connection fee na wananunua hicho cha 70K

Vipi wadau hicho kifurushi kishaliwa kichwa mmefanya siri?

Kingsmann
Hapana mkuu, kifurushi hakijaliwa kichwa kipo palepalee..

Juzi nimetoka kumlipia jamaa yangu ambaye naye alichukua router ya airtel, yeye hana line ya airtel huwa anaweka pesa kwangu kisha namnunulia kwa line yangu..

 
Labda nitoe ushauri kwa wadau wa Router za Airtel waloungwa Enteprise kwa ahadi kwamba baada ya muda wataweza kujiunga na kifurushi cha 70K.

Bebeni router zenu muende Airtel Shop mlizo karibu nazo mlipie 200k ili wawabadilishie category za router kutoka Enteprise kwenda Retail maana its possible.

Wakigoma kubadilisha category, as long as hizo router hamkuzilipia basi warudishieni kisha mchukue router zingine za Retail. Hapo mnakuwa kwenye win-win situation. Either wabadilishe category, wakikataa mnawasusia hizo router mnachukua zingine za Retail..

Mimi wakati naungwa, nilikuwa namfuatilia aloniunga mwanzo mpaka mwisho, kwenye kusajili Router inafika sehemu system inampa chaguo la Category (Either Retail au Enteprise). Hivyo sidhani kama ni possible waliowekwa category ya Enteprise wakapata access ya kifurushi cha 70K.

Hata unaponunua kifurushi inakuambia upo category gani, either Retail au Enteprise..



 
Na hiki kifurushi cha 10Mbps kwa 70K ambacho kinapatikana kwenye Retail category hawawezi kukiondoa kirahisi rahisi kwani watu wote walioungwa walisaini mkataba na Airtel.

Kukiterminate bila mkataba mpya italeta legal implications, imagine wakikiondoa kinyemela then watu wakaenda mahakamani pesa itakayowatoka ni kiasi gani?

So kamwe hawawezi fanya huo ujinga hata kidogo..

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…