Bukayo Saka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 294
- 459
Mkuu coverage internet ya airtel kwa dar nje ya mji ndani ndani huko unafahamu iko vipi?
Maana next week naweza kuchukua hiyo router yao halafu isinipe ninachotegemea
Yeah basi hicho ndio kilichonikuta na miminilieka yangu data inajiwasha na kuzima yenyewe na sio simu tu ata kwenye router ya kawaida wameeka namna haifanyi kazi.... nadhani zile zimekua registered kwa router zenyewe kama sikosei
Ahsante mkuuTanzania’s leading provider of prepaid, postpaid mobile, Internet services & Mobile Money.
Tanzania’s leading provider of prepaid, postpaid mobile, Internet services & Mobile Money.www.airtel.co.tz
ingia hapo boss search eneo lilipo filter 5g na 4g uone minara ya eneo ulilopo... me niko nje ya mji ila natumia vzuri sana hainipi tatzo
Eneo nililopo naona 5G hamna ila 4G mnara upo kama kilomita 2. Sijajua kama hiyo router itafanya vizuri sehemu nilipo. Naomba uzoefu waku performance ya router mnara ukiwa mbali kilomita 2.Tanzania’s leading provider of prepaid, postpaid mobile, Internet services & Mobile Money.
Tanzania’s leading provider of prepaid, postpaid mobile, Internet services & Mobile Money.www.airtel.co.tz
ingia hapo boss search eneo lilipo filter 5g na 4g uone minara ya eneo ulilopo... me niko nje ya mji ila natumia vzuri sana hainipi tatzo
Eneo nililopo naona 5G hamna ila 4G mnara upo kama kilomita 2. Sijajua kama hiyo router itafanya vizuri sehemu nilipo. Naomba uzoefu waku performance ya router mnara ukiwa mbali kilomita 2.
Haziplay mpaka kuwe na torrent Kaka.. ngoja nipitie hizo sitesUnblockit - Access your favourite blocked sites pita kwenye hizo site zilizomo umu labda utabahitika ,pia na wasiwasi io stremio itakua inapull info (cast,plot) kutoka imdb kwani ulivosearch umewza kuziplay.
Mimi situmii io stremio
amna line ya unlimited wanapewa izi za mawakala kariakoo ni gb 110 kwa mwezi ila wanambiwa unlimitedYeah basi hicho ndio kilichonikuta na mimi
Sasa swali langu lipo lwa hao wanaosema wanapewa line peke yake bila Router, wao wanatumiaje?
Mimi napata mpaka sasa kwa 70.Lakini humu si kuna wadau waliokuwa wamelipia connection fee na wananunua hicho cha 70K
Vipi wadau hicho kifurushi kishaliwa kichwa mmefanya siri?
Kingsmann
Mbona mie natumia mpaka Leo icho kifurushiAirtel nao miyeyusho sana na ahadi zao za kiboya
Humu si kuna mdau alisema ameomgea na customer care wakamuambia kifurushi cha 70K kitakuwa active baada ha miezi mitatu ya kulipia
Mbona sikioni??View attachment 2848921
Nyie si mlitoq 270KMbona mie natumia mpaka Leo icho kifurushi
[emoji23][emoji23][emoji23] Sa itakuwajeNyie si mlitoq 270K
Si wengine tuliona nyingi tukaamua tuazime tin na leseni za watu
Mi nilikuwa nataka hicho kifurushi kiwepo japo hata kingekuwepo ningekuwa bado nanunua cha 110K[emoji23][emoji23][emoji23] Sa itakuwaje
Mtandao wake unasambaa umbari wa mita ngapi,au hadi muwe nyumba moja mkuu,mmoja gorofa pili wewe ya tatu?Mi nilikuwa nataka hicho kifurushi kiwepo japo hata kingekuwepo ningekuwa bado nanunua cha 110K
Ila nitaka tu kiwepo kama backup katika siku ambazo nitakwama niweze kununua.
Saizi nashare na baadhi ya watu ndio maana niko confortable na bei hiyo
Kwenye open space inaweza kwenda hadi mita 100Mtandao wake unasambaa umbari wa mita ngapi,au hadi muwe nyumba moja mkuu,mmoja gorofa pili wewe ya tatu?
Kama Kuna simu ya 5G test, si kweli kwamba 5G coverage ipo dar nzima, 5G unaweza kua km 1 toka mnara na usiipate, ipo sensitive sana na vikwazo kama miti, milima, Majengo marefu etc.Wale wa Airtel 5G Speed ipoje? 10Mbps inakuwa fresh? nipo mitaa ya mbezi luguruni airtel wanasema 5G inapatika kote Dar sasa hivi kwahyo huko hakuna shida, maana natka kuchukua hii au Voda sema voda gharama juu kidogo
Simu nna 4G tu ambayo inajitahidi kidogo , nahofia kununa na device yao halafu iwe miyayushoKama Kuna simu ya 5G test, si kweli kwamba 5G coverage ipo dar nzima, 5G unaweza kua km 1 toka mnara na usiipate, ipo sensitive sana na vikwazo kama miti, milima, Majengo marefu etc.