Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Toka juzi usiku network inacheza sana......
Kabisa wanazingua sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka juzi usiku network inacheza sana......
View attachment 2876365Toka juzi usiku network inacheza sana......
Kwangu haipandi speed napata ndogo sanaToka juzi usiku network inacheza sana......
Nimeongea na aloniunga, akanielekeza namna ya ku reset, nime reset ila still network haiko stable...
5G, 4G, 3G ni minara tofauti, kama ni tatizo la mnara jaribu kubadili setting, eka 3G only, waweza usipate 10mbps yote ila ukapata 5-7mbps maisha yakaendelea.Nimeongea na aloniunga, akanielekeza namna ya ku reset, nime reset ila still network haiko stable...
It seems ni tatizo la minara, siyo router. As u know mitandao yote kuna muda network huwa zinakuwa unstable..
Naunga vifurushi vya halotel 1Gb kwa elf 1
Tigo huungi mkuu?Naunga vifurushi vya halotel 1Gb kwa elf 1
Voda ipo faster ping na sio download speed, pia reliability, huwezi kuelewa kama huna matumizi heavy ya ping.SPEED TEST ya mitandao ya VODACOM na HALOTEL
VODACOM 👇View attachment 2877186hivi huu ndio mtandao watu huwa wanausifia kwa kasi? Au mimi natumia tofauti?
HALOTEL 👇View attachment 2877187
ROUTER YANGU YA AIRTELLeo pamoja na kuna mvua na mawingu Dar, ila network iko full bar, 10Mbps wanakupa na nyongeza ya 2Mbps bureee😂😂
View attachment 2877184
ROUTER YANGU YA AIRTEL
HAIFANYANYI KAZI TOKA JANA SIJUI TATIZO NINI INA CONNECT BUT WITHOUT INTERNET HV NINI TATIZO HAPO??
Daah lakin mbona lain ya kawaida inafanya kaz
Inafanya kazi kwa 2G, 3G, 4G ama 5G? Replicate hizo settings kwenye router yakoD
Daah lakin mbona lain ya kawaida inafanya kaz
Inafanya kazi kwenye 4G Una replicate vip nielekezeInafanya kazi kwa 2G, 3G, 4G ama 5G? Replicate hizo settings kwenye router yako
Kwenye setting za router manual set network iwe ,3G ama 4G etcUna set
Inafanya kazi kwenye 4G Una replicate vip nielekeze
Hata sisi tulokua tunatumia wameondoa bando kwenye zile menu, ni msibaWakuu ko vodacom hana bando za SME
Duuu noma sanaHata sisi tulokua tunatumia wameondoa bando kwenye zile menu, ni msiba