Umenipa bonge moja la wazo mkuuView attachment 2893292
Nilichukua huu mzigo wa 10Mbps uko poa sana nilikuwa nahofia huku mbezi ndani ndani itazingua , 5G haitopanda ndio lakini sidhani kama utahitaji 5G kwa 10 Mbps sababu hii 4G+ muda wote speed inakwamia 12Mbps na mimi huwa muda wote na stream up to 1440p bila shida
Mfano wa streams nazotumia
Dstv stream - ipo fresh
Azam max - Ipo fresh
Netflix - fresh kabisa
Amazon prime - Fresh
Tubi - Fresh
Kodi fresh
Na streaming services nyingine kama Plex , Pluto tv , crackle , Xumo play etc
Nia ilikuwa kuachana na Ma dish kwa sasa kukomaa online tu
Mimi nina google chrome cast nikuuzie 25kAsante sana Chief, ngoja nizitafute zinakopatikana.
Kama kuna mtu anaziuza au anafahamu zinapopatikana tafadhali tuwasiliane.
hata kwangu mtandao upo chiniHiii changamoto ya internet ya Airtel kuwa chini ni kwangu tu au Kuna wengne pia wanapitia yhn mtandao umekua chini mpaka unaboa nimejalibu kuongea na alienifungia anadai kuwa hata yeye hajui maana wateja wengi wanampa lawama
Kwa kuangalia upload speed hapo mnara umezidiwa, jaribu kubadili kwenda 3G ama 5G etc inaweza saidia .
asante mkuu.Za Bei rahisi Onn tv, fire tv stick, Google TV chromecast na Xiaomi mi TV stick. Zote hizi unapata laki ama chini ya hapo.
Kama budget inaruhusu zaidi ya hapo Kuna fire tv cube, Mi box S, Nvidia shield etc
Hizo stick nzuri sana kama huna matumizi mengi, weka Nyuma ya TV na usb ndogo Unachomeka kwenye stick na tv, weka on HDMI CEC kwenye box na tv umemaliza kila kitu. Ukiwa Sha TV na box linawaka na remote ya TV hio hio ita control tv box.
Chukua Airtel mkuu... Ni cheaper na hawana masharti magumu kama ndugu zake..Ndugu wakuu nataka kununua ROUTER lakini naomba ushauri wenu. Ni router ipi ninunue kati ya TIGO na AIRTEL?
Router ya tiGO ni sh ngapi na ya Airtel ni sh ngapi na masharti yao yakoje mkuu?Chukua Airtel mkuu... Ni cheaper na hawana masharti magumu kama ndugu zake..
Jamani hakuna mtu anisaidie hili jambo?Ndugu wakuu nataka kununua ROUTER lakini naomba ushauri wenu. Ni router ipi ninunue kati ya TIGO na AIRTEL?
Soma huko juu walishakujibu mudaJamani hakuna mtu anisaidie hili jambo?
Hivi mkuu kuna tofauti gani hasa kati ya hizi box na sticks?Mfano kuna tofauti gani kati ya Xiaomi Mi box s na Xiaomi mi TV stick?Za Bei rahisi Onn tv, fire tv stick, Google TV chromecast na Xiaomi mi TV stick. Zote hizi unapata laki ama chini ya hapo.
Kama budget inaruhusu zaidi ya hapo Kuna fire tv cube, Mi box S, Nvidia shield etc
Hizo stick nzuri sana kama huna matumizi mengi, weka Nyuma ya TV na usb ndogo Unachomeka kwenye stick na tv, weka on HDMI CEC kwenye box na tv umemaliza kila kitu. Ukiwa Sha TV na box linawaka na remote ya TV hio hio ita control tv box.
Stick hazina nguvu na ni inferior kwa box za kawaida sema unaweza ukaziwasha kwa umeme wa tv, ukichomeka kwenye tv na ki usb kidogo kinatoka kwenye tv kwenda kwenye stick basi unasahau, ukiwaSha tv na stick kinawaka na kizima tv na stick inazima, hapa inakua rahisi na inakua kama part ya tv, hasa kama nyumbani una watoto inasaidia.Hivi mkuu kuna tofauti gani hasa kati ya hizi box na sticks?Mfano kuna tofauti gani kati ya Xiaomi Mi box s na Xiaomi mi TV stick?
Eneo ulilopo kama speed ya airtel iko vizur chukua hiyoJamani hakuna mtu anisaidie hili jambo?
Asante sana mkuu kwa connection hiiEneo ulilopo kama speed ya airtel iko vizur chukua hiyo View attachment 2902807
Kutokana na vifurushi kubadilika tafuta router ambayo ni univesal au ambayo inaweza kuwa unlocked na ukatumia mitandayo yote.Ndugu wakuu nataka kununua ROUTER lakini naomba ushauri wenu. Ni router ipi ninunue kati ya TIGO na AIRTEL?