donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Yeah Iko njema mkuuSpeed iko njema?
Sijajua ila mimi nilisanuliwa juzi na mwanangHii imeanza Lin mkuu
Ina week sasa tunakula kimtindo...Hii imeanza Lin mkuu
Unatumia Simu gani?Wengine huju tulipo huo mtandao mnasema muda wote ni h+ , yani 4g mpaka uwashe flight mode na kuzima, nayo haimalizi dakika inarudi h+ na ikiwa katika h+ ni sawa na kusema umezima data
SAmsung, simu haina uhusika hapa,Unatumia Simu gani?
Kama ukitoka nje ama juu ya bati etc unaipata consider kutega router mahala pazuri ama nunua booster ya network.Wengine huju tulipo huo mtandao mnasema muda wote ni h+ , yani 4g mpaka uwashe flight mode na kuzima, nayo haimalizi dakika inarudi h+ na ikiwa katika h+ ni sawa na kusema umezima data
Ni hii offer aliyopost donluchesse hapo, hii ttcl nikiendaga maeneo ya stendi ndo inasoma fresh nikiwa home ndo hali hiyoKama ukitoka nje ama juu ya bati etc unaipata consider kutega router mahala pazuri ama nunua booster ya network.
Sababu nimeona umeandika ukiweka offline mode ukirudi Sha inasoma kisha inakata.Ni hii offer aliyopost donluchesse hapo, hii ttcl nikiendaga maeneo ya stendi ndo inasoma fresh nikiwa home ndo hali hiyo
*#*#4636#*#*
Hii safi, haina code yake ya kureverse?Sababu nimeona umeandika ukiweka offline mode ukirudi Sha inasoma kisha inakata.
Njia nyengine unaweza force 4G only, sema ukipigiwa hutapatikana.
Code:*#*#4636#*#*
Same code ama offline mode ina reverse. Ukishindwa kabisa zima simu washa.Hii safi, haina code yake ya kureverse?
Hizo ni siasa mkuu.WMTH | Habari
Ministry of Communication and Information Technology | Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habariwww.mawasiliano.go.tz
Hapo kwenye static IP Wan itanifaa sana kwenye PlexView attachment 2925968
Hii ina ukweli wowote kwa anaejua?
Mimi hapa niko chamwino, ila speed ninayopata NI hiiWengine huju tulipo huo mtandao mnasema muda wote ni h+ , yani 4g mpaka uwashe flight mode na kuzima, nayo haimalizi dakika inarudi h+ na ikiwa katika h+ ni sawa na kusema umezima data
safi mkuuMimi hapa niko chamwino, ila speed ninayopata NI hii
Vipi bado ipo nikachukue liniIna week sasa tunakula kimtindo...
Bado ipo, kuanzia saa 12 alfajiri mpaka saa 3 asubuhi..Vipi bado ipo nikachukue lini
Leo sijafanikiwa kabsa, nahis watakuwa wameitoaBado ipo, kuanzia saa 12 alfajiri mpaka saa 3 asubuhi..