Sijui mkuu.Hakuna vya vyoda ?
Hizi ni Starlink ninazo zniona aliexpress na alibaba .. au ni starlink ya elon?#HABARI Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na kikosi kazi maalum cha kuzuia na kupambana na matumizi ya makosa ya kimtandao limewakamata Claudian Makaranga (28) mkazi Kawe na Hongliang Yang (35) Mchina, mkazi wa Kigamboni, kwa tuhuma za kuingiza vifaa vya mawasiliano ya intaneti nchini bila kufuata utaratibu wa kisheria vyenye jina la STARLINK KIT/DEVICE.
Akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda maalum SACP Jumanne Muliro anasema Watuhumiwa hao wamekuwa wakijitangaza kuuza vifaa na kutoa huduma ya internet nchini kupitia mtandao ya kijamii wa Instagram kwa akaunti yenye jina la STARLINK.
Baadhi ya vifaa vilivyoingizwa nchini imebanika vilishauzwa na kutumika katika baadhi ya maeneo ya Dar es Salaam kitendo ambacho ni kosa na kinyume na sheria kwani havijaidhinishwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
#EastAfricaTV
Sent from my Pixel 4 XL using JamiiForums mobile app
Soma vizuri alichoandika vifurushi alivyoweka router bure, hii ya kulipa 650K ni kile cha 70K.Ishu kununua hiyo routerView attachment 2962111
Kuna mdau kasema kuna Unlimited ya 50K Halotel sema confirmation yake mpaka sasa hakuna.Voda na Tigo hawana unlimited ya 50,000
niunge madogo huko…?
kwa line yoyote ya halotel au special tu..?Kwasasa ukipiga menu ya halopesa kisha ukachagua namba 3 vifurushi utapata hiyo huduma ya M2M vifurushi vya bei nafuu GB nyingi
Kuna options kibao, hizi package za sme, pia kuna zile unlimited uamuzi ni wakoWenzangu,,natafuta ushauri ni jinsi Gani naweza kupata bandle la internate kwa simu yangu nayoitumia kuinguanisha na laptop kwa shughuli zangu kama kufanya masomo online.Sababu ukiweka bandle la elf 10 unaweza Kuta halimalizi hata siku 2 wakati nakumbuka enzi za jiwe ukiweka elfu 10ulikuwa unapata bandle la kutumia hada kwa siku 20 full matumizo.
Kwa sasaa nataka kufanya masomo ya course fupifupi online,,naomba ushauri wa kupata bandle la gharama ndogo kama ambavyo intrnate cafe unakuta wanakucharge book kwa saa na bado wanapata faida.Asante
Mkuu unhetoa mfano sabbu Mimi nikenda kwenye lain yangu ya kawaida sizioni hizo optionz za kupata baundle kybwa za internate kwa reasonable price.Actually unakuta 2300 kwa 2 GB aharafu inasiha harakaKuna options kibao, hizi package za sme, pia kuna zile unlimited uamuzi ni wako
Kwa aliechukua hii akapewa router aje atupe mrejesho kama anaweza kutumia zaidi ya 40GB kwa sikuTigo wamelegeza kamba huko, kwahivyo vifurushi unapewa Router bure, wewe kazi yako ni kulipa tu!!
View attachment 2961936
Safi sanaTigo wamelegeza kamba huko, kwahivyo vifurushi unapewa Router bure, wewe kazi yako ni kulipa tu!!View attachment 2961936
Wakuachie tu user na password ya router, ili kupunguza usumbufu mdogo mdogo. Hakikisha zote jina la kawaida na 5G unabadili password.Nipo katika hatua za mwisho kuunganishiwa ttcl fiber, naomba kufahamu mambo ya muhimu wkt wanasajili router yangu
Cc chief mkwawa
Hivi Vodacom wanaline hizo za internet tu?Wakuachie tu user na password ya router, ili kupunguza usumbufu mdogo mdogo. Hakikisha zote jina la kawaida na 5G unabadili password.
Walikua na wao na Sme kwa muda mfupi Sana ghafla zimepotea, sijui walipatwa na na nini. Zinapiga simu na internet ila mfano wake ni kama hizo line za Halotel za internet unapata GB nyingi kwa gharama ndogo.Hivi Vodacom wanaline hizo za internet tu?
AsanteWalikua na wao na Sme kwa muda mfupi Sana ghafla zimepotea, sijui walipatwa na na nini. Zinapiga simu na internet ila mfano wake ni kama hizo line za Halotel za internet unapata GB nyingi kwa gharama ndogo.
Pia wana unlimited za 4G/5G sema hizo bei ndefu 115,000 kupanda.
Boss kwema vipi menu ya 70k ya 10 mbps imekuja kuonekana kwako ??Zipo Router ambazo zinakuwa na tatizo binafsi ambalo halihusishi mtandao
Router ya rafiki yangu ilikuwa na tatizo hilo tulichofanya ni kuwasiliana na team leader aliyetuletea.
Akatuachia Router nyingine wakati ile yenye tatizo akienda nayo ofisini kwa ajili ya kuifanyia diagnosis.
Baada ya siku kadhaa alituletea ikiwa iko fresh tukamrudishia ile Router yake.
So nakushauri utumie njia hiyo pia