Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Hii shida ya speed kushuka ikifika jioni kwa hizi router za airtel naona linataka kuwa tatizo chronic..

Bongo nyoso sana..
Bora wewe jioni at least utakuwa una timing ya muda katika kufanya mambo yako.

Mimi naenda wiki sasa, speed nayoipata ikizidi sana ni 1.89Mbps. Na hiyo ni package ya 30Mbps

Then usipolipia wadwanzi hawaishi kupiga simu kukumbusha swala la malipo.

Hapa natafuta alternative walau nipate hata Router ya Tigo nione wao wako vipi, Airtel nataka niwakaushie kwa kipindi kirefu kwanza.
 
Bora wewe jioni at least utakuwa una timing ya muda katika kufanya mambo yako.

Mimi naenda wiki sasa, speed nayoipata ikizidi sana ni 1.89Mbps. Na hiyo ni package ya 30Mbps

Then usipolipia wadwanzi hawaishi kupiga simu kukumbusha swala la malipo.

Hapa natafuta alternative walau nipate hata Router ya Tigo nione wao wako vipi, Airtel nataka niwakaushie kwa kipindi kirefu kwanza.
Hapo dawa badilisha router tuu, au jaribu kucheza na setting za ndani..


Jioni au tuseme usiku wa kuanzia saa moja mara nyingi napataga speed hii hapa:
Screenshot_2024-07-14-22-52-00-162_com.android.chrome-edit.jpg


Ila mida mingine napata speed inayoendana n kifurushi changu cha 70K ambazo ni 10Mbps download speed:
Screenshot_2024-07-15-16-53-51-808_com.android.chrome-edit.jpg
 
Kinachofanya niendelee kubaki kwa hawa airtel ni kwa vile router zao ni movable, natembea nayo mahali popote.

Na pia wana gharama affordable kushinda kampuni zingine.

Cha kuwashauri ni wasije wakajisahau tu, maana siku Voda akishusha gharama tu, sidhani kama kuna mtu ataendelea kuwatumia, hizi routers zao zitabakia makopo.
 
Hapa muite wakala alokupa router akupe nyingine tu..


Kwako tatizo linaweza kuwa siyo network wala eneo ulilopo bali router yenyewe ama setting zake..
Hapana Mkuu kuna kitu nimegundua, nikuwa hawa Airtel wame downgrade speed

Angalia hii video hapa chini.

Hii video nilikuwa napima speed ya internet ya line yangu ya Airtel ya kawaida ambayo ni kifurushi cha jero, halafu hapo hapo nika switch WiFi ya Airtel Router.

Airtel niliyounga Mb 200 za jero ilikuwa na speed 22Mbps lakini Router 5G ambayo kifurushi chake ni cha 110,000 speed yake ni 0.13Mbps.
 
Naona malalamiko ya kushuka speed airtel 5g ni mengi

Kifurushi changu kimeisha muda hapa

Vipi wadau nichukue kingine au hiyo hela niungie tu bando la kawaida isije potelea mikononi mwa hao wahuni
 
Hapana Mkuu kuna kitu nimegundua, nikuwa hawa Airtel wame downgrade speed

Angalia hii video hapa chini.

Hii video nilikuwa napima speed ya internet ya line yangu ya Airtel ya kawaida ambayo ni kifurushi cha jero, halafu hapo hapo nika switch WiFi ya Airtel Router.

Airtel niliyounga Mb 200 za jero ilikuwa na speed 22Mbps lakini Router 5G ambayo kifurushi chake ni cha 110,000 speed yake ni 0.13Mbps.
View attachment 3043155
Bongo uhuni mwingi, kifurushi changu kimeisha muda, japo nilikua napata changamoto ya spidi mida ya jioni mpaka usiku wa saa 4 au 5. Naona inaenda kua issue serious kama yako
 
Kinachofanya niendelee kubaki kwa hawa airtel ni kwa vile router zao ni movable, natembea nayo mahali popote.

Na pia wana gharama affordable kushinda kampuni zingine.

Cha kuwashauri ni wasije wakajisahau tu, maana siku Voda akishusha gharama tu, sidhani kama kuna mtu ataendelea kuwatumia, hizi routers zao zitabakia makopo.
Nimeanza kuona Tigo wana router za 100K mitaani sijui limekaaje hili.

Kama unapata signal za 5G vyema ukatafuta mtandao wa 5G badala ya kuibia unlimited ya 4G.
 
Hapo dawa badilisha router tuu, au jaribu kucheza na setting za ndani..


Jioni au tuseme usiku wa kuanzia saa moja mara nyingi napataga speed hii hapa:
View attachment 3043146

Ila mida mingine napata speed inayoendana n kifurushi changu cha 70K ambazo ni 10Mbps download speed:
View attachment 3043147
Tatizo la speed kuwa ndogo halijasababishwa na settings za Router, kwanza nisha perfom hard reset lakini hakuna changes.

Hapa nafikiria kesho niangalie ustaarabu mwingine wa kuchukua Router ya Halotel.

Ila kabla sijafikia maamuzi hayo nataka kwanza kupata dondoo kidogo kuhusu watumiaji wa Router ya halotel kama kuna changamoto zozote...

Kwasababu nimesikia wanatoa 20Mbps kwa 50K tu, sasa isije ikawa ndio yale mambo ya kupunguziana speed baada ya kufikisha GB kadhaa.
 
Hapana Mkuu kuna kitu nimegundua, nikuwa hawa Airtel wame downgrade speed

Angalia hii video hapa chini.

Hii video nilikuwa napima speed ya internet ya line yangu ya Airtel ya kawaida ambayo ni kifurushi cha jero, halafu hapo hapo nika switch WiFi ya Airtel Router.

Airtel niliyounga Mb 200 za jero ilikuwa na speed 22Mbps lakini Router 5G ambayo kifurushi chake ni cha 110,000 speed yake ni 0.13Mbps.
View attachment 3043155
Nimeilewa sana mkuu...

Sasa sikia, fanya ku-reset hiyo router.

Namna ya kuireset, kwa nyuma kuna kitundu kidogo ambacho kinaingia zile sim tray pin📍, bonyeza hapo gently kwa sikunde kadhaa router itajireset.

Fanya ivo uone matokeo yatakuwa yakoje.
 
Bongo uhuni mwingi, kifurushi changu kimeisha muda, japo nilikua napata changamoto ya spidi mida ya jioni mpaka usiku wa saa 4 au 5. Naona inaenda kua issue serious kama yako
Dawa ni kuwala bati wabaki na makasha yao tuone watayafanyia nini.

Nimewatumia email ndefu yenye maelezo yote tena kwa kuanza na mahali napoishi lakini imekuja reply fupi eti "tunaomba utueleze tatizo lako kwa msaada zaidi"

"Tunaomba utueleze wilaya, kata unayoishi kwa msaada zaidi"

Hii inaonesha kwamba hata nilichokiandika hawakukikosma.

Kitu ambacho kimenifanya niwapuuze kwenye page yao ya Instagram. Kila unapowasiliana nao kuwajulisha tatizo lako wanakuomba maelezo yale yale ambayo kila siku unayatoa.

Nawapa feedback kuwa changamoto yangu bado haijawa solved, wananiambia tunaomba namba yako ya Router tutajie na mahali unapoishi.

Sheenzi kabisa hawa
 
Nimeilewa sana mkuu...

Sasa sikia, fanya ku-reset hiyo router.

Namna ya kuireset, kwa nyuma kuna kitundu kidogo ambacho kinaingia zile sim tray pin📍, bonyeza hapo gently kwa sikunde kadhaa router itajireset.

Fanya ivo uone matokeo yatakuwa yakoje.
Najua Mkuu, nimefanya hivyo lakini bado matokeo ni sifuri labda iwe tu zari kwa leo huwenda itakubali.

Ngoja nitajaribu kufanya hivyo, ikifakisha siji kulipia tena kifurushi.

Na kwa mantiki tu ndogo, kuna nini kinachoaweza kua athiri speed ya internet mpaka uanze kui reset?

Hivi unajua humu ninekuwa nikiona malalamiko ya watu wakisema Airtel wanakawaida ya kupunguza speed pindi unapofikia matumizi ya GB1000?

Sasa malalamiko hayo sio tu nakutana nayo humu, hadi mtaani watu wanalalamika hivyo.

Mimi hawawezi kuniuzia godoro halafu wakaninyima usingizi.
 
Tatizo la speed kuwa ndogo halijasababishwa na settings za Router, kwanza nisha perfom hard reset lakini hakuna changes.

Hapa nafikiria kesho niangalie ustaarabu mwingine wa kuchukua Router ya Halotel.

Ila kabla sijafikia maamuzi hayo nataka kwanza kupata dondoo kidogo kuhusu watumiaji wa Router ya halotel kama kuna changamoto zozote...

Kwasababu nimesikia wanatoa 20Mbps kwa 50K tu, sasa isije ikawa ndio yale mambo ya kupunguziana speed baada ya kufikisha GB kadhaa.
Mkuu una details zaidi za Halotel?
 
Mkuu una details zaidi za Halotel?
Halotel sijapata bado details za kutosha kuniridhisha nilipie Router yao ila bado nipo kwenye mchakato wa kuzipata.

So far mpaka sasa nachojua ni kuwa Halotel wana plan ya 20Mbps ambayo ni 50K.

Lakini demand yao ni mpaka ununue Router ambayo ni 4G inayouzwa 150K kwa hiyo pamoja na kifurushi jumla ni 200K.

Baada ya hapo utaendelea kujiunga kifurushi cha 20Mbps kwa 50K.

Nataka nijue kiundani zaidi yasije yakawa mambo ya kupewa 20Mbps halafu ukitumia GB kadhaa wanashusha speed.
 
Sikuhizi naona labda watumiaji washakuwa wengi maana zimekuwa na muitikio mkubwa wa wadau

Kwahyo sometimes fresh simetimes majanga trick mara nyingi inabidi niweke flighf mode nikitoa inakaa sawa

Kama mida hii na stream paramount+ haijasumbua
 

Attachments

  • Screenshot_20240715_224358_Speedtest.jpg
    Screenshot_20240715_224358_Speedtest.jpg
    183.9 KB · Views: 13
Back
Top Bottom