Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,805
- 17,850
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namimi naona wameniongezea speed mpaka 20Mbps.
Namimi naona wameniongezea speed mpaka 20Mbps.
View attachment 3043573
Ila bado sijabadili maamuzi ngoja niende Halotel Shop
Wana 5G? Kama ni 4G tu sidhani kama wana uwezo wa kutoa unlimited kwa hio speed, na router ya 4G ghali sana kwa hio bei.Halotel Shop wanadai bei ya Router imepanda kutoka 150K hadi 200K
Bei zao za vifurushi zipoje?Halotel Shop wanadai bei ya Router imepanda kutoka 150K hadi 200K
Router yao ni 4G ila wana unlimited.Wana 5G? Kama ni 4G tu sidhani kama wana uwezo wa kutoa unlimited kwa hio speed, na router ya 4G ghali sana kwa hio bei.
Wana kifurushi kimoja tu cha 15Mbps kwa 50KBei zao za vifurushi zipoje?
Kwa matumizi yangu hayafiki hata 400gb kwa mwezi ila speed ndio hiyo ya hovyo hovyoChukua wala usiogope.
Wakijifanya wao wahuni kuna wahuni zaidi yao, kwani na wao si ni watu kama sisi tu🙂
Bado customer service wana shida sana, sababu hakuna competition.. halotel wakiamka na hizo zao za 50k watapoga hela sana..Dawa ni kuwala bati wabaki na makasha yao tuone watayafanyia nini.
Nimewatumia email ndefu yenye maelezo yote tena kwa kuanza na mahali napoishi lakini imekuja reply fupi eti "tunaomba utueleze tatizo lako kwa msaada zaidi"
"Tunaomba utueleze wilaya, kata unayoishi kwa msaada zaidi"
Hii inaonesha kwamba hata nilichokiandika hawakukikosma.
Kitu ambacho kimenifanya niwapuuze kwenye page yao ya Instagram. Kila unapowasiliana nao kuwajulisha tatizo lako wanakuomba maelezo yale yale ambayo kila siku unayatoa.
Nawapa feedback kuwa changamoto yangu bado haijawa solved, wananiambia tunaomba namba yako ya Router tutajie na mahali unapoishi.
Sheenzi kabisa hawa
Halotel leo naichukua ntaleta mrejeshoBado customer service wana shida sana, sababu hakuna competition.. halotel wakiamka na hizo zao za 50k watapoga hela sana..
Nikipata info vzuri nahamia huko.
Ttcl Internet yao iko poa sana haina magumashi kabisa ila kupata installation ndio mtihani
Tumia ya voda Hawa skuizi wamekuwa wahuni tuHawa Airtel ndo basi tena..
View attachment 3043427
Achana na tigo mkuu tumia ya voda tigo Yao ni expensive sana andaa laki 6 ili kupata ila voda wapo vizuri sanaBora wewe jioni at least utakuwa una timing ya muda katika kufanya mambo yako.
Mimi naenda wiki sasa, speed nayoipata ikizidi sana ni 1.89Mbps. Na hiyo ni package ya 30Mbps
Then usipolipia wadwanzi hawaishi kupiga simu kukumbusha swala la malipo.
Hapa natafuta alternative walau nipate hata Router ya Tigo nione wao wako vipi, Airtel nataka niwakaushie kwa kipindi kirefu kwanza.
Nataka nichukue Halotel.Achana na tigo mkuu tumia ya voda tigo Yao ni expensive sana andaa laki 6 ili kupata ila voda wapo vizuri sana
Voda vipi mida ya jioni na usiku wa mapema, inapiga fresh au nako speed inashuka?Tumia ya voda Hawa skuizi wamekuwa wahuni tu