Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vifurushi vya kwenye hii menu vishakua vya kawaida sanaBoss Unapiga *149*42#
VipojeVifurushi vya kwenye hii menu vishakua vya kawaida sana
Wazinguaji sanaTtcl ndio baba lao SEMA upatikanaji wake ndio mtiti
Hii mchawi kuipata mkuu, ukishafunga ni mseleleko tu. Waongeze juhudi tu kugikia watu wengiTTCL ndio basi tena, bora wamrudishe Kindamba tu
Una enjoy sanaHalotel muda huu nimeshatumia Gb 245
Eeh wakimrudisha Kindamba tu mbona mtafurahi sanaHii mchawi kuipata mkuu, ukishafunga ni mseleleko tu. Waongeze juhudi tu kugikia watu wengi
unyama ni hiyo ping ingekuwa speed nzur ingetisha sana😁😁😅😂
Aende kuchukua router aachane na fiber hata ya tigo ya kwao ni jau tuunyama ni hiyo ping ingekuwa speed nzur ingetisha sana
Binafsi Halotel kwa mwezi napata 15.7GB kwa elf 10.
Walikuja kazini wakatupa lini zao, kuna za business na za wafanyakazi..Mkuu unatumia menu gani? Kupata hilo bando
Humu unapata feature ipi extra?
Bandwidth controlHumu unapata feature ipi extra?
Hapa dawa ni kutafuta kibunda mtu uchukue router ambayo ni universal, tuacchane na hizi router zao..Bandwidth control
Remote access
Hadi ku disable WiFi sharing kwa QR Code
Na vinginevyo