Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Wakuu hivi ukiachana na tigo post Paid vifurushi gani vingine tigo viko vizuri Scars
*148*44# hapo unajisjili na tin number na ID hakikisha kwenye account una elfu kumi ya kujinga, vifurushi vyake ni kama aitel sme.
2792.png
2791.png
 
Nimeona tangazo la kifurushi kipya cha Airtel kutoka kwa team leader aliyeniuzia Router.

Bei ya kifurushi nimeambiwa ni 50K ila sharti ni mpaka uwe na Router ya Airtel model zlt x28 au X25.

Gharama za kuunganishiwa kasema ni 100,000 kwa hiyo pamoja na kifurushi jumla ni 150K.

Kuunganisha ni mpaka usajiliwe line special halafu aichukue hiyo Router akaifanyie configurations anazozijua yeye ndio kifurushi hicho kifanye kazi..

Kuhusu speed kaniambia ni Mbps 50 hadi 120....Kwa hiyo minimum ni 50Mbps...

Mimi nimeogopa kujaribu kwa kile kilichonikuta kwa Halotel sitaki kukurupuka tena.
50K halafu speed ni 50mbps? Ama cha magumashi?
 
150K halafu kinaisha mwezi, too risk.
Baada ya hapo ni kuwa utaweza kununua mwenyewe kwa bei ya 50K

Bado lakini kwangu naona ni risk vilevile kwasababu hivi ni vifurushi ambavyo havikupi guarantee ya kuendelea kuwepo.

Kama havijapitia njia halali maana yake siku yeyote kampuni ikasanukia mchongo basi umekwisha.

Na wao wameweka hela ndefu kwa tamaa zao ni kama wanataka kutumia huo mwanya kumalizia matatizo yao.
 
Leo jioni baada ya kufikisha 1.05TB
1727469473744.png


Hiki ndio nilichokutana nacho

1727469458589.png


Na hapo ikumbukwe kua hii ni Router nyingine kabisa tofauti na ile ya mwanzo ambayo ilikuwa imeandamwa na tatizo la kupunguziwa speed.

So now naweza kuhitimisha kuwa ni kweli Airtel wanapunguza speed pindi ufikiapo matumizi ya 1TB
 
Toka Halotel waje na M2M nimesajili Line mbili.. Moja hiyo haipigi wala kupokea ya data only... Hii haina maajabu sana hata uungaji wake ni mgumu mpaka uwe na line ya halotel nyengine maana haina Halopesa na bando zake zinaanzia 15k kwa mwezi au 5k kwa wiki, 15k gb 18 na hiyo ya 5k gb 4..

Pia nilisaijili nyengine baadae ya special ila inapiga na kupokea sms yaani ni kama line ya kawaida pia ndani yake kuna menu ya bando ya ile la M2M isiyopiga wala kupokea... pia ina vifurushi vyengine vikubwa zaidi vyenye dakika na sms... Hii alienisajilia aliniambia nikijiunga bando la elfu 50 ndo naweza kupata hiyo unlimited (actually sio unlimited bali ni gb 100,, zikiisha speed inapungua) pia unapata sms na dakika... naweka na poster hapa kwa maelezo zaidi.
Mkuu hio menu ya unlimited unaenda wapi? Mimi nina line ya super corp
 
Leo jioni baada ya kufikisha 1.05TB
View attachment 3108749

Hiki ndio nilichokutana nacho

View attachment 3108748

Na hapo ikumbukwe kua hii ni Router nyingine kabisa tofauti na ile ya mwanzo ambayo ilikuwa imeandamwa na tatizo la kupunguziwa speed.

So now naweza kuhitimisha kuwa ni kweli Airtel wanapunguza speed pindi ufikiapo matumizi ya 1TB
Daah bongo nyoso sana..
 
Nimeona tangazo la kifurushi kipya cha Airtel kutoka kwa team leader aliyeniuzia Router.

Bei ya kifurushi nimeambiwa ni 50K ila sharti ni mpaka uwe na Router ya Airtel model zlt x28 au X25.

Gharama za kuunganishiwa kasema ni 100,000 kwa hiyo pamoja na kifurushi jumla ni 150K.

Kuunganisha ni mpaka usajiliwe line special halafu aichukue hiyo Router akaifanyie configurations anazozijua yeye ndio kifurushi hicho kifanye kazi..

Kuhusu speed kaniambia ni Mbps 50 hadi 120....Kwa hiyo minimum ni 50Mbps...

Mimi nimeogopa kujaribu kwa kile kilichonikuta kwa Halotel sitaki kukurupuka tena.
Mkuu halotel ilikuwaje? Hembu toa kisa chako maana mimi na tumia Halotel ina mwaga moto vizuri tu via X28 udhamini wa Airtel
 
Mbona ya kwako haina super user?

Hii ya kwako ina parent control na remote access kweli?
Hizo features zote mna taka zanini wakuu? Lets be honest kz hata ukiwa nazo hamna alteration una weza fanya kwenye hiyo router zaidi ya kuona zipo tu. Inshort wakisha unlock via Root user utakuwa nazo ila sio big deal kama router yako kuanza access other sim cards plus e sim pia
Jamaa wana unlock take ur risk tu ila they can do it in less than 20minutes. Yangu ni unlocked am currently on M2M halotel na flow kwa 50k ila kama kawaida network una jitafutia.
 
Mkuu halotel ilikuwaje? Hembu toa kisa chako maana mimi na tumia Halotel ina mwaga moto vizuri tu via X28 udhamini wa Airtel
Halotel nilikuwa natumia kwenye Router yao ile ndogo na mwanzo speed nilikuwa napata 20Mbps

Ila siku zilivyokuwa zinasonga ndio speed ilipokuwa inapungua.

Ila ikifika majira ya usiku ilikuwa kasi sana yani hadi 40Mbps ilikuwa inafika.

Lakini mida ya mchana unakuta hadi kufungua picha WhatsApp ni mtihani.

Nikarudi kwenye Airtel.

Wapo wanangu wawili wao wakakimbilia huko, nao mambo yamekuwa ni hivyo hivyo.

Mmoja kati yao anatumia Router ya Airtel aliyo unlock lakini leo kanicheki ananiambia anafikiria kurudi Airtel kutokana na speed kuwa ya kinyonga.

So mwanzo nilikuwa nafikiri labda pengine ni Router tu inashindwa ku push, lakini tangu nione changamoto hiyo kwa rafiki yangu basi nabaki kusema huwenda itakuwa ni ishu ya eneo tu.

Napo kwenye eneo bado nina doubt kwasababu why iwe kifurushi hicho tu? Mbona kifurushi cha kawaida cha Halotel mambo yanaenda vizuri hakuna mkwamo?
 
Halotel nilikuwa natumia kwenye Router yao ile ndogo na mwanzo speed nilikuwa napata 20Mbps

Ila siku zilivyokuwa zinasonga ndio speed ilipokuwa inapungua.

Ila ikifika majira ya usiku ilikuwa kasi sana yani hadi 40Mbps ilikuwa inafika.

Lakini mida ya mchana unakuta hadi kufungua picha WhatsApp ni mtihani.

Nikarudi kwenye Airtel.

Wapo wanangu wawili wao wakakimbilia huko, nao mambo yamekuwa ni hivyo hivyo.

Mmoja kati yao anatumia Router ya Airtel aliyo unlock lakini leo kanicheki ananiambia anafikiria kurudi Airtel kutokana na speed kuwa ya kinyonga.

So mwanzo nilikuwa nafikiri labda pengine ni Router tu inashindwa ku push, lakini tangu nione changamoto hiyo kwa rafiki yangu basi nabaki kusema huwenda itakuwa ni ishu ya eneo tu.

Napo kwenye eneo bado nina doubt kwasababu why iwe kifurushi hicho tu? Mbona kifurushi cha kawaida cha Halotel mambo yanaenda vizuri hakuna mkwamo?
Okey boss asante wa kunijibu, mchango wangu hauna tofauti sana na wako ila na tafiti zangu pia kuhusu halotel. Hawa jamaa niko nao mwezi wa pili sasa, na dhumuni la kutumia ni urahisi wa unlimited yao, mimi natumia home tu kwa ajili ya kustream IPTV sina kingamuzi na deal na IPTV kuanzia mpira, movies and series actually nimepata app ina nipa all in one so ikabidi ni check wapi na unlimited ya bei nafuu. Halotel ina changamoto kuna siku ina weza kuwa sawa nika stream fresh kabisa bila buffering na kuna siku ina kata mno. So kama huna uvumilivu nao hawafai kwa kweli, changamoto nyingine ni network pia sio stable haipo kila mahali zaidi 4G ina bidi router kuitegeshea sana kupata network nzuri.
 
Hizo features zote mna taka zanini wakuu? Lets be honest kz hata ukiwa nazo hamna alteration una weza fanya kwenye hiyo router zaidi ya kuona zipo tu. Inshort wakisha unlock via Root user utakuwa nazo ila sio big deal kama router yako kuanza access other sim cards plus e sim pia
Jamaa wana unlock take ur risk tu ila they can do it in less than 20minutes. Yangu ni unlocked am currently on M2M halotel na flow kwa 50k ila kama kawaida network una jitafutia.
Mimi ni mtu ambaye napenda ku customize device na ndio maana hata iPhone kwangu sio chaguo langu.

Hizo option unazoona sio za maana ila kwangu mimi hizo option ni the best.

Kwangu mimi kuwa limited na hizo features naona ni sawa na wewe upewe simu ya mkopo ambayo inakuwezesha kupiga simu tu na kupokea halafu nakuambia hizo ndio features muhimu kwenye simu hayo mambo ya Camera sijui WhatsApp nk. Sio mambo ya msingi
 
Okey boss asante wa kunijibu, mchango wangu hauna tofauti sana na wako ila na tafiti zangu pia kuhusu halotel. Hawa jamaa niko nao mwezi wa pili sasa, na dhumuni la kutumia ni urahisi wa unlimited yao, mimi natumia home tu kwa ajili ya kustream IPTV sina kingamuzi na deal na IPTV kuanzia mpira, movies and series actually nimepata app ina nipa all in one so ikabidi ni check wapi na unlimited ya bei nafuu. Halotel ina changamoto kuna siku ina weza kuwa sawa nika stream fresh kabisa bila buffering na kuna siku ina kata mno. So kama huna uvumilivu nao hawafai kwa kweli, changamoto nyingine ni network pia sio stable haipo kila mahali zaidi 4G ina bidi router kuitegeshea sana kupata network nzuri.
Mi ndio maana sitaki kuamini kama hii changamoto inatokana na location.

Hii ni figisu za wao wenyewe tu. Kwanza kifurushi hakifahamiki speed rasmi ni kiasi gani ili hata ikipungua ujue imepungua kwa kiasi gani kutoka kwenye asili yake.

Lakini kitu kingine kuna siku iliwahi kumtokea mwanangu mtandao uli shake kiasi kwamba hata kufungua Gmail alishindwa.

Akamipigia simu akilalamika kuwa mtandao wa Gmail unasumbua, mi nikamwambia ngoja ni test kwangu.

Nilipo test huku ikafunguka, nikamuambia tumia mobile data kufungua. Alipofanya hivyo mambo yakawa fresh.
 
Back
Top Bottom