Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

6OK kipande, kuna wamba wana unlock hiyo device gharama ya juu maximum ni 10$ sawa na 28,000 tu.

View attachment 3097704

Nilichokuja kugundua hata watanzania wengi wanaotangaza ku unlock hizi device sio kama hiyo kazi wanafanya wao.

Kuna mmoja nilimcheki baada ya kuona tangazo lake akanitajia bei 35K nikatulia.

Nikaingia YouTube kwenye channel ya muarabu mmoja nikamcheki WhatsApp akaniambia anafanya unlock kwa 8$ hapo ni baada ya kufanya utanzania yani kumshusha kwenye bei yake ya asili ambayo ni 10$View attachment 3097705

Sasa huyu jamaa nikamuomba anioneshe uthibitisho wowote kufanya nimuamini kwasababu ya scam zimekuwa nyingi hususan ni huduma inafanywa baada ya malipo.

Jamaa alinitumia screenshot za chats za wateja zake kutoka taifa langu yani wabongo wenye code za +255

Akazi crop zile screenshot chats kwa kutoonesha full namba lakini moja ya chat katika zile screenshot ilikuwa ina dp ya yule jamaa aliyeniambia ana unlock kwa 35K.

Kwa hiyo nikagundua kuwa hawa wabongo waliowengi wanaosema wana unlock hizi device ni kama madalali tu ambao hawafanyi wao hizo kazi bali kuna mtu ndio wanayemtumia.
Jamaa alikufanyia hii kazi? Nataka nimrukie hewani
 
Jamaa alikufanyia hii kazi? Nataka nimrukie hewani
Hapana...

Huyo Muhindi aliniambia anataka malipo kwa njia ya Binance in terms of dollars
Screenshot_20240921-153503.png


Na mimi nikaona mzunguko umekuwa mkubwa maana mshkaji wangu ambaye ndiye anadili na hizo mingo za Binance

Akaniambia sijui mpaka sijui anunue dollar kwa wadau wa Tanzania wanaotumia hiyo Binance ambao hao watu nao wanataka walipwe kwanza tena wana namba hadi za uwakala.

Kwa hiyo process ikawa ndefu halafu kule kwao Muhindi muda ukawa umesogea akalala. Wakati sasa nime settle tushampata huyo mwamba wa kutuuzia hizo dollar nikasema tulia kwanza nimcheki Muhindi kabisa kabla sijalipia hizo dollar

Kumcheki nakuta mwamba kalala, akatuma meseji saa 4 kuwa
Screenshot_20240921-153926.png


Kesho yake nikatumia ile hela na mchongo mzima ukafia hapo.

Ila ntapohitaji basi muda wowote naweza nikamcheki
 
Hapana...

Huyo Muhindi aliniambia anataka malipo kwa njia ya Binance in terms of dollars
View attachment 3102064

Na mimi nikaona mzunguko umekuwa mkubwa maana mshkaji wangu ambaye ndiye anadili na hizo mingo za Binance

Akaniambia sijui mpaka sijui anunue dollar kwa wadau wa Tanzania wanaotumia hiyo Binance ambao hao watu nao wanataka walipwe kwanza tena wana namba hadi za uwakala.

Kwa hiyo process ikawa ndefu halafu kule kwao Muhindi muda ukawa umesogea akalala. Wakati sasa nime settle tushampata huyo mwamba wa kutuuzia hizo dollar nikasema tulia kwanza nimcheki Muhindi kabisa kabla sijalipia hizo dollar

Kumcheki nakuta mwamba kalala, akatuma meseji saa 4 kuwa View attachment 3102065

Kesho yake nikatumia ile hela na mchongo mzima ukafia hapo.

Ila ntapohitaji basi muda wowote naweza nikamcheki
PayPal huwezi pokea hela ila unalipa vizuri bila shida.

Na binance ni cryptocurrency wallet, umampa kwa bitcoin ama currency nyengine, kuwa watu wanaziuza kama mawakala wa mpesa wapo bongo.
 
Hapana...

Huyo Muhindi aliniambia anataka malipo kwa njia ya Binance in terms of dollars
View attachment 3102064

Na mimi nikaona mzunguko umekuwa mkubwa maana mshkaji wangu ambaye ndiye anadili na hizo mingo za Binance

Akaniambia sijui mpaka sijui anunue dollar kwa wadau wa Tanzania wanaotumia hiyo Binance ambao hao watu nao wanataka walipwe kwanza tena wana namba hadi za uwakala.

Kwa hiyo process ikawa ndefu halafu kule kwao Muhindi muda ukawa umesogea akalala. Wakati sasa nime settle tushampata huyo mwamba wa kutuuzia hizo dollar nikasema tulia kwanza nimcheki Muhindi kabisa kabla sijalipia hizo dollar

Kumcheki nakuta mwamba kalala, akatuma meseji saa 4 kuwa View attachment 3102065

Kesho yake nikatumia ile hela na mchongo mzima ukafia hapo.

Ila ntapohitaji basi muda wowote naweza nikamcheki
Ngoja nimtafute
 
PayPal huwezi pokea hela ila unalipa vizuri bila shida.

Na binance ni cryptocurrency wallet, umampa kwa bitcoin ama currency nyengine, kuwa watu wanaziuza kama mawakala wa mpesa wapo bongo.
Yeah hata mimi niliambiwa hivyo kuwa wadau wanakuwa na namba za wakala
 
Njia nzuri ya kutumia Extender/secondary router ni kutumia ethernet, unahitaji router iwe na Wan, karibia router zote zina support hili, hata ikiwa haina Wan itatumia tu wifi hio hio.

Extender za masafa marefu zipo ila utapata bei rahisi ukiagizishia kuliko kununua Hapa, Online possible kupata chini ya laki. Keyword tumia outdoor wifi extender.
Screenshot_20240922_105736_Gallery.jpg
Screenshot_20240922_105751_Gallery.jpg

Hii niliinunua kama miaka 3 iliyopita halafu nashindwa kuiunganisha,nimeangaika sana na review za tenda kule youtube ila wapii!imekua kama toy tu sasa hivi!
 
[emoji845]OFA OFA OFA [emoji845]ZA LEO

GB ZA HALOTEL WIKI 2
GB5=5,000
GB7=7,000
Gb10=10000.

GB ZA HALOTEL MWEZI
Gb10= 10000
GB13=12500
GB15=14,000
GB17=16,000
GB20=19,000
GB25=24,000
Gb30=27,000
Gb35=30,000
GB40=35,000
Gb45=38,000
Gb60=50,000
Gb90=80,000
Uaminifu ndo siraha yetu, una subiri nini usajili sasa halotel leo usipitwe, kabla bei hazijabadika

[emoji338] 0618279799
0712776823
Hizi mb zinaisha fasta mno sijui sababu ya mbps nzuri au lah,binafsi suluhisho la internet za TZ ni unlimited tu
 
View attachment 3102947View attachment 3102948
Hii niliinunua kama miaka 3 iliyopita halafu nashindwa kuiunganisha,nimeangaika sana na review za tenda kule youtube ila wapii!imekua kama toy tu sasa hivi!
Hio ni router kMa router nyengine isipokuwa tu kazi yake ni ku support router nyengine.

Angalia itakua na maelezo ya details chini ama nyuma washa connect na hio network yake ingiza ip yake kisha login halafu ndio utaconect main wifi.

Ama nipigie picha hayo maelezo nikuwekee procedure vizuri
 
Hio ni router kMa router nyengine isipokuwa tu kazi yake ni ku support router nyengine.

Angalia itakua na maelezo ya details chini ama nyuma washa connect na hio network yake ingiza ip yake kisha login halafu ndio utaconect main wifi.

Ama nipigie picha hayo maelezo nikuwekee procedure vizuri
Box na menu zake zilishapotea mkuu,nilinunua muda sana
 
Hapana...

Huyo Muhindi aliniambia anataka malipo kwa njia ya Binance in terms of dollars
View attachment 3102064

Na mimi nikaona mzunguko umekuwa mkubwa maana mshkaji wangu ambaye ndiye anadili na hizo mingo za Binance

Akaniambia sijui mpaka sijui anunue dollar kwa wadau wa Tanzania wanaotumia hiyo Binance ambao hao watu nao wanataka walipwe kwanza tena wana namba hadi za uwakala.

Kwa hiyo process ikawa ndefu halafu kule kwao Muhindi muda ukawa umesogea akalala. Wakati sasa nime settle tushampata huyo mwamba wa kutuuzia hizo dollar nikasema tulia kwanza nimcheki Muhindi kabisa kabla sijalipia hizo dollar

Kumcheki nakuta mwamba kalala, akatuma meseji saa 4 kuwa View attachment 3102065

Kesho yake nikatumia ile hela na mchongo mzima ukafia hapo.

Ila ntapohitaji basi muda wowote naweza nikamcheki

PayPal kufanya malipo inawezekana kwa Tz. Ku-withdraw pesa ndiyo haiwezekani.

-Kaveli-
 
I'm clueless

Easy click bro...

1. Register PayPal account.

2.0 Create M-Pesa virtual Master Card, na iwekee pesa hiyo card from M-Pesa yako; or

2.1 Tumia your real Bank Master Card.

(N.B: Due to a lot money scammers online, 'Virtual master card' is highly recommended for informal online business coz unaweka the exact amount only kinachohitajika kwenye hiyo card).

3. Kwenye PayPal, kuna option ya ku-link PayPal account yako to your Master Card. So when making payment, unaweza iwekea pesa PayPal account yako from M-Pesa Master Card yako na kufanya malipo. Pia, kama PayPal account yako haina balance na ukaicommand kufanya malipo, itakuuliza ikate directly kwenye master card yako? unairuhusu, the you go.

-Kaveli-
 
Easy click bro...

1. Register PayPal account.

2.0 Create M-Pesa virtual Master Card, na iwekee pesa hiyo card from M-Pesa yako; or

2.1 Tumia your real Bank Master Card.

(N.B: Due to a lot money scammers online, 'Virtual master card' is highly recommended for informal online business coz unaweka the exact amount only kinachohitajika kwenye hiyo card).

3. Kwenye PayPal, kuna option ya ku-link PayPal account yako to your Master Card. So when making payment, unaweza iwekea pesa PayPal account yako from M-Pesa yako na kufanya malipo. Pia, kama PayPal account yako haina balance na ukaicommand kufanya malipo, itakuuliza ikate directly kwenye master card yako? unairuhusu, the you go.

-Kaveli-
Nashukuru kwa muongozo

Ntakuja kusoma vizuri nikipata utulivu baadaye ngoja saizi nicheki mechi
 
Back
Top Bottom