Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
- #981
voda? au mtandao mwenginena hii unapiga *149*42#Ni kwa line za aina gani? mimi ninayo ya kawaida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
voda? au mtandao mwenginena hii unapiga *149*42#Ni kwa line za aina gani? mimi ninayo ya kawaida.
Airtel kwa sasa *149*81# huu mzigo hatari kwa siku 500=2GB upewe nini tena??
Sema speed anajitahidi lakin Halotel ndo top
Sasa tigo 4G na Halotel 3G ipi iko fasta???? Fanya uchunguzi afu niambie
[emoji23][emoji23][emoji23]samahani mkuu ni icho ichoMkuu wewe hiko cha airtel Gb 2 kwa jero unakipatia wapi mboma mimi napata 1.2GB!
vodacomvoda? au mtandao mwengine
Kwan yupo hewani siku izi?Gb5 kwa mwezi mbn chache sana mkuu inamaana ww huendagi kumchek dada wa taifa dada mange?maana ukienda uko gb zinaporomoka
Sijafatilia maana nipo busy na kutafuta bundle zuriKwan yupo hewani siku izi?
Sio sababu ya eneo mkuu?, mimi hii ndio huwa natumia sana niseme ukweli kwenye swala la speed huwa hainiangushi pamoja kuwa ni 3G.Wapuuzi sana hawa wanalimit speed nimejiunga UN ya airtel money speed inacheza kwenye 30 to KB/s[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
huwa zinakuwepo vyuoni, mara ya mwisho nilinunua DIT pale kituo cha mwendokasi, sema nasikia hazitengenezwi tena hizi vocha.Hivi hii 600 GB 10 usiku AIRTEL kuna vocha hapa dar au unajiungaje maana nimeangalia komenti pengine kuna MTU ataeleza sijaona ninaomba msaada jamani
Mkuu TTCL ipo juu sana usifananishe na Tigo kwenye internet speedYaani unaifananisha 4g boss na 3g ni sawa na ist na V8 ambavyo haviendani kiufupi speed ya Tigo kwa 4g ni story nyingine hata TTCL kiukweli anakaa ila sasa ndo mb zinaenda sio kitoto
Mkuu TTCL ipo juu sana usifananishe na Tigo kwenye internet speed
Mitandao yetu ipo ovyo.Sio sababu ya eneo mkuu?, mimi hii ndio huwa natumia sana niseme ukweli kwenye swala la speed huwa hainiangushi pamoja kuwa ni 3G.
kama meme[emoji2] [emoji2] [emoji2]Mimi voda wananipa gb 5 kwa 2000
Hiki kifurushi ni kwa ajili ya baadhi ya wateja tuu nini, mbona wengine hakipo.kama meme[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Washaanza kuboa hawa Airtel naona wanafata nyendo za Tigo kupunguza mb'sAirtel wamebadilisha vifurushi kwenye ile menu yao ya *149*81#.au*149*81*4# Kile cha mia tano gb 1.2 wamepunguza hadi mb 500 na kile cha buku gb 2 siku 3 kimekuwa gb 1 na cha mwezi cha 6000 unapata gb 2 badala ya nne.
Hiyo gb 10 unapataje ndugu kwenye TTCL?Mitandao yetu ipo ovyo.
Tigo ilikuwa slow sana nikahamia Airtel baada ya kupata line ya Chuo ila nao kuanzia September wakawa wanazingua net yao inakata kata ovyo so nimeitupia mvunguni line yao baada ya kupata TTCL Boom line.
500 =800mb 24hrs na Amsha popo 1000 kwa 10gb siyo Mbaya maana speed ni ya rocket iwe 3g au 4g