Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hao wote uliowataja wamewekewa na limit pia maana router zao zote nimetumiaSerikali inaingiaje, mkuu? Maana hii hainiingi akilini, kwa nini serikali iwaambie Airtel waweke kikomo lakini wasiwape masharti hayo hayo Vodacom na Tigo (ambao nao pia wanatoa huduma hii hii)?