Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

hii speed nzuri tu mkuu, na kwa idm inafika hadi 3MBps inamaana hio ni 24mbps sio mbaya.

na 4G sio speed tu hata ping zinakuwa nzuri, hapo mpira unaangalia bila wasiwasi quality yoyote ya HD.
Mkuu am sorry,ninaweza kutumia app gani(android) kupost audio instagram?
 
Mkuu post [HASHTAG]#618[/HASHTAG] ya tarehe 23/7 ndo nlitoa tangazo.
Na post na 632,640 na 641 zinaeleza mnafaikaji wa kwanza ni Chief Mkwawa ambae alipata huduma hii na akalipa vizur bila shida.
Lakin baada ya hapo niliwahudumia watu kibao wengine wanalipa wengine wanazingua tu hawatoi pesa

Nawengine sema hukutuunga pia!!
 
Mkuu post [HASHTAG]#618[/HASHTAG] ya tarehe 23/7 ndo nlitoa tangazo.
Na post na 632,640 na 641 zinaeleza mnafaikaji wa kwanza ni Chief Mkwawa ambae alipata huduma hii na akalipa vizur bila shida.
Lakin baada ya hapo niliwahudumia watu kibao wengine wanalipa wengine wanazingua tu hawatoi pesa
Mquu niunge mimi qwenye icho qifurushi, uwaqiqa mimi nitaqulipa.
 
Screenshot_20171231-121615.png
 
Back
Top Bottom