Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu maeneo ya ubungo mpaka Kimara ttcl ni mbovuNko dar ubungo mkuu. Na line nlinunua ofisini kwao posta pale
Sent from my SM-G925F using JamiiForums mobile app
Zamani ikuwa hivyo kipindi buku ni 1024MB sikuhizi naona havibadiliki.lulu za uru alimuuliza Red Giant
“ Mkuu wanaweza wakabadilisha unaporudia rudia? Yangu MF.buku ni mb 400 nikirudia rudia hii option inaweza ikabadilishwa?"
Mkuu am sorry,ninaweza kutumia app gani(android) kupost audio instagram?hii speed nzuri tu mkuu, na kwa idm inafika hadi 3MBps inamaana hio ni 24mbps sio mbaya.
na 4G sio speed tu hata ping zinakuwa nzuri, hapo mpira unaangalia bila wasiwasi quality yoyote ya HD.
audio za vipi mkuu? inawezekana? una mfano unitumie link nione?Mkuu am sorry,ninaweza kutumia app gani(android) kupost audio instagram?
Mkuu post [HASHTAG]#618[/HASHTAG] ya tarehe 23/7 ndo nlitoa tangazo.
Na post na 632,640 na 641 zinaeleza mnafaikaji wa kwanza ni Chief Mkwawa ambae alipata huduma hii na akalipa vizur bila shida.
Lakin baada ya hapo niliwahudumia watu kibao wengine wanalipa wengine wanazingua tu hawatoi pesa
Mkuu ulilipia na hukuungwa?Nawengine sema hukutuunga pia!!
Mkuu unajiunga vipiMi nakula bata na 5Gb kwa 2000[emoji48] [emoji48] ..nashusha mizigo hatari kuliko kusubiria night bundles ni mchosho
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
Mquu niunge mimi qwenye icho qifurushi, uwaqiqa mimi nitaqulipa.Mkuu post [HASHTAG]#618[/HASHTAG] ya tarehe 23/7 ndo nlitoa tangazo.
Na post na 632,640 na 641 zinaeleza mnafaikaji wa kwanza ni Chief Mkwawa ambae alipata huduma hii na akalipa vizur bila shida.
Lakin baada ya hapo niliwahudumia watu kibao wengine wanalipa wengine wanazingua tu hawatoi pesa
Tuna namba na jina inbox nikuungeMquu niunge mimi qwenye icho qifurushi, uwaqiqa mimi nitaqulipa.
[emoji849][emoji849] naomba ujuz na mm, mana nimerud zangu vodaMimi voda wananipa gb 5 kwa 2000
Nakumbuka ulileta tangazo lako nikakupm na nikaja kwenye Uzi kukuquote mkuu nimekupm kimyaa mpaka leoTuna namba na jina inbox nikuunge
*149*03# chagua ya kwako tu then data kama una bahat utakutana nayo maana siyo kwa namba zote ni namba baadhi tu ndo tuna hii offer[emoji849][emoji849] naomba ujuz na mm, mana nimerud zangu voda
Mkuu hii ni kwa mida gani..?*149*03# chagua ya kwako tu then data kama una bahat utakutana nayo maana siyo kwa namba zote ni namba baadhi tu ndo tuna hii offer
MweziMkuu hii ni kwa mida gani..?