Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #1,101
hapo juu anasema 10GB kwa mwezi kwa miezi 3 kwa 5000, inamaana gb 30 kwa miezi 3.Mbona kuna uni ofa 2500Tzs 2GB & 2GB usiku
Huko unakotaka kwenda wanapima vipi kwa bei gani
Mkuu am sorry!!....hivi mkuu kama dish la futi nane lina kutu nikilipiga rangi inaweza kuathiri upokeaji wa mawimbi au hakuna shida?hapo juu anasema 10GB kwa mwezi kwa miezi 3 kwa 5000, inamaana gb 30 kwa miezi 3.
IPO poa sana hiihapo juu anasema 10GB kwa mwezi kwa miezi 3 kwa 5000, inamaana gb 30 kwa miezi 3.
nimecheki online hapa unaweza kupiga rangi, sema wanashauri rangi iwe mat na sio gloss. yaani rangi isiwe ni yenye kung'aa na kuakisi mwanga wa jua inabidi iwe ni rangi ilofifia. ikiakisi mwanga wa jua itayeyusha lnb na pia inaweza sababisha muingiliano wa signal dish likiangalizana na jua.Mkuu am sorry!!....hivi mkuu kama dish la futi nane lina kutu nikilipiga rangi inaweza kuathiri upokeaji wa mawimbi au hakuna shida?
yah ukiweka kwenye simu unasahau, mb 330 kwa siku sio mbaya matumizi ya kawaida.IPO poa sana hii
Chief nami nifanyie mpangoyap mkuu
mimi nimeunganishwa hapo leohapo juu anasema 10GB kwa mwezi kwa miezi 3 kwa 5000, inamaana gb 30 kwa miezi 3.
nimeshaelewa anafanyaje,View attachment 666873
mimi nimeunganishwa hapo leo
tatizo ni kwamba jamaa nadhani
hataki kunipa maujanja
kwasababu yaye anapiga hela.
na anatoa line kabisa inayotaka
kuunganishwa anaweka ktk cm
yake aunge mwenyewe...nadhan ni kaujanja kadogo sana
mimi pia sina ujuz wa hii kituChief nami nifanyie mpango
enhee chief nipe ujuznimeshaelewa anafanyaje,
nimeona kuna namba zenye tarakimunimeshaelewa anafanyaje,
Aisee fanya mambo mkuumimi pia sina ujuz wa hii kitu
nimeunganishwa leo kiongoz.
labda nijaribu kumuomba
anipe huo ujuz nije niumwage
hapa. LABDA
Itabidi tuje huko huko inbobo maana voda nikiweka uni ya 2500 hizo Gb zao 4 hata siku tatu hazifiki...nimeshaelewa anafanyaje,
Tigo sioni ofa zao kabisa,ngoja tuwasubir wajuvi wahaya mambo!wa Tigo hamna vifurushi vya kijanja kama hivo vya voda maana airtel walishanitenda.
We nawe quote hujibu pm hujibu ndio nini sasaTuma namba na jina tunakuunganisha na ofa za chuo vodacom. Piga *149*02# kuona bando ktk ofa hii.
Wezesha namba yako na Vodacom university offer ili uweze kujiunga popote na muda wowote
Sijaiona mkuu,najibu pm zote nazoziona ngoja niangalie ntakujibuWe nawe quote hujibu pm hujibu ndio nini sasa
Hii naiataje kiongozi nataka kuunganishwahapo juu anasema 10GB kwa mwezi kwa miezi 3 kwa 5000, inamaana gb 30 kwa miezi 3.