Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapokea wapi?? Hapokei wala nnHalafu ana majibu ya dharau huyu dogo, humu anajifanya ana kauli nzuri, ukishamtumia hela tu kauli zinabadilika anakuita msumbufu. Bora wewe anapokea sim, si tukimpigia anakata.
Unaitaja opener code za mtanda* up* maana mpka h#t#l ninazo...Nipe basi huo ujanja unataka sh ngap
Hapo tusi ni lipi kwenye hizo PM? Jamaa si muelewa yaan kila dakika anapiga simu hata hiyo kaz utaifanyaje kama anaingilia na calls zake?Pawaga hebu njoo ujibu shutma huku
Vipi bosi?,ukiwafunza hawa hii kitu tutakufa njaa tusitili kidg.huwezi kufanya wewe ni wakala tu ndio anaweza mpaka ukutane nae au kuna vitu akupe ndio utafanya.
Ngoja nkufuate chobingo unielekeze mana nina machungu ya kuliwa hela yanguUnaitaja opener code za mtanda* up* maana mpka h#t#l ninazo...
Poleni sana[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hebu cheki PM zake, anitukana. Huyu dogo tapeli aisee. Angalia kauli zake zilivyo.
![]()
![]()
Me pia na ushahidi wa text zake za kuniita msumbufu lkn sina haja ya kueka hapa nishasamehe nmeshaacha ata kumsumbua mana elfu 9 haimfikishi popoteHebu cheki PM zake, anitukana. Huyu dogo tapeli aisee. Angalia kauli zake zilivyo.
![]()
![]()
Buku7 jero hahahaa hiki kichapo.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Anapokea wapi?? Hapokei wala nn
Soma huu uzi apa comment zangu utaelewa
Halotel:jipatie 12gb,175 dakika mitandao yote mwezi mzima kwa 7500 tu.
Unaitaja opener code za mtanda* up* maana mpka h#t#l ninazo...
Wewe unataka na mimi niweke namba yako na ushahidi wa kusema imekubali na baada ya siku mbili unaleta namba nyingine eti nikuunge kwa gharama za mwanzo? Acha ujuaji wewe dadaMe pia na ushahidi wa text zake za kuniita msumbufu lkn sina haja ya kueka hapa nishasamehe nmeshaacha ata kumsumbua mana elfu 9 haimfikishi popote
Bora huyo wa buku saba jero huyo mwingine elfu9Buku7 jero hahahaa hiki kichapo.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hiyo kanitumia sasa hivi, yupo online mda huu. Nimepost ndani ya dakika moja kanitumia hiyo PM. Hapo unamjibu vipi?Me pia na ushahidi wa text zake za kuniita msumbufu lkn sina haja ya kueka hapa nishasamehe nmeshaacha ata kumsumbua mana elfu 9 haimfikishi popote
Imekubali vifurushi vya siku vya wiki ikagoma baada ya hapo unanita msumbufu nkikwambia uniunge vya wikiWewe unataka na mimi niweke namba yako na ushahidi wa kusema imekubali na baada ya siku mbili unaleta namba nyingine eti nikuunge kwa gharama za mwanzo? Acha ujuaji wewe dada
Ile ya baba ako mbona mpaka saiz unaitumia au ulitaka nikuunge zote ya baba ako na ya kwako kwa gharama moja?Imekubali vifurushi vya siku vya wiki ikagoma baada ya hapo unanita msumbufu nkikwambia uniunge vya wiki
Tukakubaliana unitoe kwenye systm mana hvyo vya siku havina mana kwangu
Mwisho wa siku hata hvyo vya siku havikubali tenaaaa...sasa hyo nn? Tukipiga cm ni usumbufu
Unachokimbilia ni kuweka no weka basi kwan kuna shida gani ndo defence mechanism yakoIle ya baba ako mbona mpaka saiz unaitumia au ulitaka nikuunge zote ya baba ako na ya kwako kwa gharama moja?
Unataka na mimi niweke ushahidi wa namba zako ulizoungwa ?
Si mnataka PM tuziweke hapa? Maana mnachagua pm za kuweka hapa zili mlizokiri imekubali mnaziachaUnachokimbilia ni kuweka no weka basi kwan kuna shida gani ndo defence mechanism yako
Hakuna ata no moja inayokubali vifurushi me si mjinga kaka...angalia ata huko kwenye systm yako kama zinakubal
Karibu.Ngoja nkufuate chobingo unielekeze mana nina machungu ya kuliwa hela yangu
Huyu Pawaga ni tapeli, kawatapeli washikaji zangu 3 niliowaonyesha huu uzi, za mwizi ni 40,ipo siku yake.Anapokea wapi?? Hapokei wala nn
Soma huu uzi apa comment zangu utaelewa
Halotel:jipatie 12gb,175 dakika mitandao yote mwezi mzima kwa 7500 tu.
Hapo tusi ni lipi kwenye hizo PM? Jamaa si muelewa yaan kila dakika anapiga simu hata hiyo kaz utaifanyaje kama anaingilia na calls zake?
Nmemjibu asubir hatufany dakika 30 kama zaman kwa sasa ni 5 to 7 days na nkimwambia before. Ok huyu ni mjinga narudia ni mjinga