Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Pawaga hebu njoo ujibu shutma huku
Hapo tusi ni lipi kwenye hizo PM? Jamaa si muelewa yaan kila dakika anapiga simu hata hiyo kaz utaifanyaje kama anaingilia na calls zake?
Nmemjibu asubir hatufany dakika 30 kama zaman kwa sasa ni 5 to 7 days na nkimwambia before. Ok huyu ni mjinga narudia ni mjinga
 
Hebu cheki PM zake, anitukana. Huyu dogo tapeli aisee. Angalia kauli zake zilivyo.


7380afef06d94cd3f729eb1384bf0c1e.jpg


70d2f8fe2ed57d6cfaa5dea96e893054.jpg
Poleni sana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Me pia na ushahidi wa text zake za kuniita msumbufu lkn sina haja ya kueka hapa nishasamehe nmeshaacha ata kumsumbua mana elfu 9 haimfikishi popote
Wewe unataka na mimi niweke namba yako na ushahidi wa kusema imekubali na baada ya siku mbili unaleta namba nyingine eti nikuunge kwa gharama za mwanzo? Acha ujuaji wewe dada
 
Me pia na ushahidi wa text zake za kuniita msumbufu lkn sina haja ya kueka hapa nishasamehe nmeshaacha ata kumsumbua mana elfu 9 haimfikishi popote
Hiyo kanitumia sasa hivi, yupo online mda huu. Nimepost ndani ya dakika moja kanitumia hiyo PM. Hapo unamjibu vipi?

Hizo zingine za kwenye sim ninazo pia ila sitazipost, haina haja, hafu anadai mi peke yangu ndo nalalamika!!

Kitu muhimu watu wasitume hela kabla ya huduma zinazotangazwa humu JF hata kama kuna watu wamefanikishiwa.
 
Wewe unataka na mimi niweke namba yako na ushahidi wa kusema imekubali na baada ya siku mbili unaleta namba nyingine eti nikuunge kwa gharama za mwanzo? Acha ujuaji wewe dada
Imekubali vifurushi vya siku vya wiki ikagoma baada ya hapo unanita msumbufu nkikwambia uniunge vya wiki
Tukakubaliana unitoe kwenye systm mana hvyo vya siku havina mana kwangu

Mwisho wa siku hata hvyo vya siku havikubali tenaaaa...sasa hyo nn? Tukipiga cm ni usumbufu
 
Imekubali vifurushi vya siku vya wiki ikagoma baada ya hapo unanita msumbufu nkikwambia uniunge vya wiki
Tukakubaliana unitoe kwenye systm mana hvyo vya siku havina mana kwangu

Mwisho wa siku hata hvyo vya siku havikubali tenaaaa...sasa hyo nn? Tukipiga cm ni usumbufu
Ile ya baba ako mbona mpaka saiz unaitumia au ulitaka nikuunge zote ya baba ako na ya kwako kwa gharama moja?
Unataka na mimi niweke ushahidi wa namba zako ulizoungwa ?
 
Ile ya baba ako mbona mpaka saiz unaitumia au ulitaka nikuunge zote ya baba ako na ya kwako kwa gharama moja?
Unataka na mimi niweke ushahidi wa namba zako ulizoungwa ?
Unachokimbilia ni kuweka no weka basi kwan kuna shida gani ndo defence mechanism yako

Hakuna ata no moja inayokubali vifurushi me si mjinga kaka...angalia ata huko kwenye systm yako kama zinakubal
 
Unachokimbilia ni kuweka no weka basi kwan kuna shida gani ndo defence mechanism yako

Hakuna ata no moja inayokubali vifurushi me si mjinga kaka...angalia ata huko kwenye systm yako kama zinakubal
Si mnataka PM tuziweke hapa? Maana mnachagua pm za kuweka hapa zili mlizokiri imekubali mnaziacha
 
Hapo tusi ni lipi kwenye hizo PM? Jamaa si muelewa yaan kila dakika anapiga simu hata hiyo kaz utaifanyaje kama anaingilia na calls zake?
Nmemjibu asubir hatufany dakika 30 kama zaman kwa sasa ni 5 to 7 days na nkimwambia before. Ok huyu ni mjinga narudia ni mjinga

Siku Tano zimepita. We jamaa acha uongo, tumekupigia sim mara mbili tu ndani ya hizo siku tano na hiyo ni baada ya kuona sms hujibu.

Mara unadai tayari tukicheki hamna kitu, tulikuuliza itachukua mda gani badala ya kujibu unatuita wasumbufu au unapiga kimya tu siku nzima. Hafu acha kutukana watu usiowajua.

Ndio maana watu walisema hapa kwamba ni bora ufanye hiyo kazi kwanza ndipo upewe hela, vinginevyo ndo kama hivyo unatapeli watu
 
Back
Top Bottom