Voda ovyo sana, nimehamia ttcl uni elf 5 gb 7 mwezi mzima
Ila kwa sasa wameondoa ofa hii. Wameniboa ile mbaya. Kwa sasa wanauza 3GB kwa 10,000/-. This is more than too muchvoda ndo hapo huwa naikubali 3gb siku 5 na kwa speed nzuri ajabu.
Sim card zao zinasajiliwa wapi ?Nimejiunga TTCL bila kutarajia baada ya Vodacom kuniboa
Nenda ttcl mkuu kwa daah 4g. Speed 10mb/ps.Ila kwa sasa wameondoa ofa hii. Wameniboa ile mbaya. Kwa sasa wanauza 3GB kwa 10,000/-. This is more than too much
Mkuu niko shy hPa nina ram za laptop n desktop .mlango wa dvd wa laptop na video card kamo uko interested au unaeza pata mteja uni PMSijawahi kununulia simu kwa hapa shy
Ttcl wako vizuri aiseeh.Nimejiunga TTCL bila kutarajia baada ya Vodacom kuniboa
Kuna jamaa ni wakala anafanyia kazi zake maeneo ya Muhimbili stand ya Daladala ndio kanisajiliaSim card zao zinasajiliwa wapi ?
Mimi wameniboa, nanunua kifurushi cha wiki nzima halafu natumia matumizi ya kawaida eti kinaisha kwa siku moja.Vodda wamenkera kuitoa line yng ofa ya chuo na line yao nmeweka kabatini
Acha Kiwasingiizia hakuna Anayemfikia TTCL kwa Sasattcl wana speed ya konokono hataree
Hao TTCL wapo nchi nzima.... Maana sie wa Mikoani hatuna uhakika......Mimi wameniboa, nanunua kifurushi cha wiki nzima halafu natumia matumizi ya kawaida eti kinaisha kwa siku moja.
Nilitamani niwapigie niwatukane nikaamua kuacha ndipo kuna jamaa kaniambia TTCL mambo sio mabaya nikatimukia kule
mkuu siwasingizii nnamorderm sometime hadi kero,natamani hd kuivunjavunja sio km slogan yao ilivyo RUDI NYUMBANI KUMENOGA,hao ni rudi nyumbani kumedolola.Acha Kiwasingiizia hakuna Anayemfikia TTCL kwa Sasa
wamepunguza ni 6gbWakuu nimeweka bando la chuo halotel la mwezi shilingi 10,000 GB 10 eti zimeisha siku moja kwa kuperuzi mtandao tu ,hawa jamaa ni wezi
hao wazee wa gawio nawachukia hataree.sio kwa speed hiyo yakinyonga mjamzito.Ttcl wako vizuri aiseeh.
Nadhani inachagua maeneo ndo shida, ila kwa mimi nilipo speed ni 10+mb/shao wazee wa gawio nawachukia hataree.sio kwa speed hiyo yakinyonga bmjamzito.
Mordem ni 4g?mkuu siwasingizii nnamorderm sometime hadi kero,natamani hd kuivunjavunja sio km slogan yao ilivyo RUDI NYUMBANI KUMENOGA,hao ni rudi nyumbani kumedolola.
Inategemeana na eneo ulipo, hapa nilipo ni mtelezo tuhao wazee wa gawio nawachukia hataree.sio kwa speed hiyo yakinyonga mjamzito.
yap ni 4gMordem ni 4g?
Nitakuchek upo shy maeneo gani ?Mkuu niko shy hPa nina ram za laptop n desktop .mlango wa dvd wa laptop na video card kamo uko interested au unaeza pata mteja uni PM