Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #1,941
Unaweza kuelezea zaidi kwenye hizo line za royal?hii laini ni mpya tangu imezinduliwa, ina kama mwezi mmoja na wiki mbili hivi, ninatumia hili bando la Royal hivi sasa na hizo 2 gb zimeshakwisha lakini bado naangalia video youtube...kama nilivyosema awali inategemea na eneo ulipo ndio maana unashindwa kupata speed nzuri.
Nakubaliana na wewehii laini ni mpya tangu imezinduliwa, ina kama mwezi mmoja na wiki mbili hivi, ninatumia hili bando la Royal hivi sasa na hizo 2 gb zimeshakwisha lakini bado naangalia video youtube...kama nilivyosema awali inategemea na eneo ulipo ndio maana unashindwa kupata speed nzuri.
Kiufupi hii kesi ya line za halotel za royal ndo nimesikia jana nlipopita kwa wakala ndo nakuja hapa kuangalia ili nipate ufumbuzi. Alivonieleza ni hivi unanunua line kwa Tsh 10,000 na ukishanunua unakua na bando la unlimited mwezi mzima daika kadhaa hivi nimesahau ila around 120 mitandao yote. Baada ya mwanzo unachofanya ni kuweka 10,000 na unaungwa na kifurushi tena automatic.Unaweza kuelezea zaidi kwenye hizo line za royal?
Nimeshajiunga mkuu, ukimaliza 2gb speed inakuwa hivi.Kiufupi hii kesi ya line za halotel za royal ndo nimesikia jana nlipopita kwa wakala ndo nakuja hapa kuangalia ili nipate ufumbuzi. Alivonieleza ni hivi unanunua line kwa Tsh 10,000 na ukishanunua unakua na bando la unlimited mwezi mzima daika kadhaa hivi nimesahau ila around 120 mitandao yote. Baada ya mwanzo unachofanya ni kuweka 10,000 na unaungwa na kifurushi tena automatic.
Nimekuja kuulizia kama kuna ukweli nikanunue hii line na je speed haipungui isijekua ushanunua baada ya siku 2 speed inakua ni 2G
Kiufupi hii kesi ya line za halotel za royal ndo nimesikia jana nlipopita kwa wakala ndo nakuja hapa kuangalia ili nipate ufumbuzi. Alivonieleza ni hivi unanunua line kwa Tsh 10,000 na ukishanunua unakua na bando la unlimited mwezi mzima daika kadhaa hivi nimesahau ila around 120 mitandao yote. Baada ya mwanzo unachofanya ni kuweka 10,000 na unaungwa na kifurushi tena automatic.
Nimekuja kuulizia kama kuna ukweli nikanunue hii line na je speed haipungui isijekua ushanunua baada ya siku 2 speed inakua ni 2G
Gb 60 six monthWazee kifurushi gani kina bamba saiz? Voda naona dar super uni wmepunguza Mb kwa buku ile ile..kutoka 1gb had 500mb sio poa
Ndo kipoje hikiGb 60 six month
Ndo kipoje hiki
Poa wacha wajeKuna wataalam kina king elly kajole na mhaya Fulani hivi watakujuza
Zantel wana 1000 unapata 1gb mpaka itapoisha, pia halotel royal ipo vizuri matumizi mepesi,Wazee kifurushi gani kina bamba saiz? Voda naona dar super uni wmepunguza Mb kwa buku ile ile..kutoka 1gb had 500mb sio poa
Dah zantel nao kobe hapa nilipoZantel wana 1000 unapata 1gb mpaka itapoisha, pia halotel royal ipo vizuri matumizi mepesi,
Wazee kifurushi gani kina bamba saiz? Voda naona dar super uni wmepunguza Mb kwa buku ile ile..kutoka 1gb had 500mb sio poa
Hiki cha zantel kiko bomba sana na network ni 4gZantel wana 1000 unapata 1gb mpaka itapoisha, pia halotel royal ipo vizuri matumizi mepesi,
Mkuu naomba menu ya kuunga gb 2 izo za sikuHii inapatikana kwenye menyu ya kawaida tu. Kuna week 5000 gb 10
Na siku gb 4 kwa 1000
[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.
Mkuu naomba menu ya kuunga gb 2 izo za siku