Nijuze please!Kwa wanaoitaji huduma ya university offer kwenye laini zao za VODACOM naunganisha kwa maelezo zaidi Njoo pm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nijuze please!Kwa wanaoitaji huduma ya university offer kwenye laini zao za VODACOM naunganisha kwa maelezo zaidi Njoo pm
Nahitaji line na si vifurushi. Kwana mpaka tuende pm???sema hapa watu wanufaikeNi pm mkuu kama unaitaji vifurushi vya chuo vya voda
Akikwambia uweke namba yako hapa ya vodacom ili akuunganishe utaweka? inapaswa ujue kwamba yeye anaunganisha line yoyote ile ya vodacom iwe inapata vifurushi vya chuoNahitaji line na si vifurushi. Kwana mpaka tuende pm???sema hapa watu wanufaike
angefafanua kama wewe hivi. Nisinge pata shida kukuelewa.Akikwambia uweke namba yako hapa ya vodacom ili akuunganishe utaweka? inapaswa ujue kwamba yeye anaunganisha line yoyote ile ya vodacom iwe inapata vifurushi vya chuo
vifurushi rasmi ni vile ambavyo vimewekwa kwenye menu ya internet, hivi vyengine vimefichwa na wala kwenye website ya mitandao husika huwezi vikuta vimeandikwa na vyengine ni kwa ajili ya watu maalumu mfano hivyo vya wanachuo na offer maalumu za mtu mmoja mmojaSasa unasemaje sio rasmi wakati vina menu?
Ndugu naomba msaada wako ni njia ipi watumia kupakua movie kwenye simupia kwenye voda kuna 51gb kwa 50,000 mwezi, 10gb kwa 10,000 kwa wiki, vya siku ni 3gb kwa 2,000 , 800mb kwa 1000 na 300mb kwa miatano. unabonyeza *149*03#. endelea kubonyeza hata mara 20 hadi upate kifurushi unachokitaka. hivi ndiyo natumia kupakua movies na kucheki mechi.
Nenda Google download showbox utafanya installation utapata movies pamoja na seriesNdugu naomba msaada wako ni njia ipi watumia kupakua movie kwenye simu
Usiwe nashaka mama,special laini za chuo kwa voda awana,ndo maana nikakuambia kama unaitaji vifurushi vya chuo kwenye laini yako ya voda nipmNahitaji line na si vifurushi. Kwana mpaka tuende pm???sema hapa watu wanufaike
Hivi smart wamesambaa nchi nzima?jaribu halotel na smart wao ndio wapo poa maeneo ambayo sio ya mjini.
ndio mikoa mingi wapoHivi smart wamesambaa nchi nzima?
Asante mkuu, vipi nao wana kifurushi cha chuo?ndio mikoa mingi wapo
Kila nikihitaji kifurush cha chuo ni lazima niku pm au unaunganisha line kiasi cha kuniwezesha kujiunga pasipokukupm?Usiwe nashaka mama,special laini za chuo kwa voda awana,ndo maana nikakuambia kama unaitaji vifurushi vya chuo kwenye laini yako ya voda nipm
hawana mkuu ila sababu wana unlimited internet ni bora kuliko kifurushi chochote cha chuoAsante mkuu, vipi nao wana kifurushi cha chuo?
Asante mkuu. Ngoja niijaribu kwa hapa Arusha, nione speed yao. Sijui kama 4G yao wameshaiweka hukuhawana mkuu ila sababu wana unlimited internet ni bora kuliko kifurushi chochote cha chuo
sina uhakika, ni vyema uombee wawe na 3g kuliko 4g sababu vifurushi vya unlimited ni 3g tu, unlimited 4g ni shilingi 70,000Asante mkuu. Ngoja niijaribu kwa hapa Arusha, nione speed yao. Sijui kama 4G yao wameshaiweka huku