Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
*148*66# ingia vifurushi maalum then night offer.Manu ya kujiunga cha unlimited cha buku usiku halotel ipoje, siku moja moja ukilala saa 10 sio mbaya
Nisaidie menu ya TTCL kujiunga vifurushiJiunge na Ttcl Ufurahie thaman ya pesa yako 1000 Gb1 wk nzima
*148*66# ingia vifurushi maalum then night offer.
Pia sio lazima ukeshe kama una simu nzuri yenye 4g za kisasa masaa machache unashusha gb 100+
Ama unaweza ukapanga downloads zako ukalala ukiamka unakuta zimekamilika.
nzuri mkuu ina band 2600 pia ina 2x2 MIMO ambayo itaongeza speed kwa halotel.chief nataka kuagiza router itakayo kuwa compatible na band za halotel 4g nipate speed kubwa vp ii si itanifaa TZS 125,914.90 9% Off | Unlocked Used Huawei 4G Modem Router B593 E5186 B525 B528 with Antenna 4G LTE Router WIFI Router SIM Card Pocket wifi router
![]()
62.99US $ |Huawei 4g Router B593 With Antenna Zte Router Mf283u 4g Lte Router Wifi Router Sim Card Pocket Wifi Router Pk E518 - Routers - AliExpress
Smarter Shopping, Better Living! Aliexpress.coms.click.aliexpress.com
nzuri mkuu ina band 2600 pia ina 2x2 MIMO ambayo itaongeza speed kwa halotel.
Hii inapatikanaje mkuu?
Kupitia TTCL pesaNisaidie menu ya TTCL kujiunga vifurushi
Hahah kwa nini mkuu?Tafuta hela wewe
ngoja niijaribu mkuuMimi hutumia ymusic pia ni nzuri.
Hivi hizo Royal bundle ni unlimited kweli?
Kweli mkuu hadi raha full kuperuzi
Mkuu nmeitafuta hii app but zinakuja nyingi mno nashindwa kujua ni ipi sahihi..naomba link mkuu wanguHakuna youtube nzuri kama youtube vanced sifa zake
1.no advertisement.
2.unaweza lock quality na uka play videos yoyote kwa hiyo hiyo labda u uchange mwenyewe mfano mimi nimelock 240p.
3.ina themes za kutosha .
4.other advanced settings.View attachment 1258535
Nilikiwa nakipenda Ila nimeachana nacho maana spidi yake siku hizi hata kitu Cha mb 10 kama una download 10 TB!!Kweli mkuu hadi raha full kuperuzi
Nilijiunga hiki juzi ila sikupata hiyo changamoto....kwangu spidi ilikuwa kama kawawakuu salama kuna mtu amekutana na changamoto ya halotel usiku pack , jana nimejarbu kwanza wamepandisha bei ni 1500 ile ramadhan offer amna tena alaf speed imedrop adi 0.5m nipo na line ya 4g na inasoma 4g full bar kabla sijanza kutumia iyo usiku park nilikuwa na tumia bundle langu la 4g la elfu 5 gb 7 , zilikuwa zimebaki kama gb 2 zilivoisha iyo speed ika drop kabisa ili tatizo kuna mtu kakutana nalo karibuni
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nilijiunga hiki juzi ila sikupata hiyo changamoto....kwangu spidi ilikuwa kama kawa
nzuri mkuu ina band 2600 pia ina 2x2 MIMO ambayo itaongeza speed kwa halotel.
Yeah kimepanda.. washajua Wana wateja wengi wa hicho kifurushibasi kwaku tatizo litakuwa ni network iyo siku , wewe ulipata icho kifurshi kwa buku jero pia cndio
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tatizo la halotel mvua ikiwa inanyesha tu speed yao ya internet inakua chini sana chunguza ilowakuu salama kuna mtu amekutana na changamoto ya halotel usiku pack , jana nimejarbu kwanza wamepandisha bei ni 1500 ile ramadhan offer amna tena alaf speed imedrop adi 0.5m nipo na line ya 4g na inasoma 4g full bar kabla sijanza kutumia iyo usiku park nilikuwa na tumia bundle langu la 4g la elfu 5 gb 7 , zilikuwa zimebaki kama gb 2 zilivoisha iyo speed ika drop kabisa ili tatizo kuna mtu kakutana nalo karibuni
Sent from my iPhone using JamiiForums