Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Wazee voda recently naona kama wamezidi yaani mpaka Twitter 500Mb hazimalizi dak 15 siwaelewi kabisa
 
Wazee voda recently naona kama wamezidi yaani mpaka Twitter 500Mb hazimalizi dak 15 siwaelewi kabisa
Gb 1 haitoboi siku 2 kudadeki ...maisha magumu sana .. kila siku kuunga bando
 
Unatugeuza mazuzu!! Hakuna kitu kama hicho!!!
 
Asante kwa mrejesho chief! Ila mwamba atabaki kuwa halotel, kwa Tsh 20,000 Unapata GB50 na dakika bila kikomo mitandao yote na hiyo ni kwa mwezi mzima yani!

Sidhani kama itatokea ofa kama hii
Kama ni mkazi wa Unguja sikushauri ujiunge na kifurushi chochote cha mbs za halotel, speed yao ni ya kobe
 
Hatafu kuna hii nyingime ya kutumia internet bure je umesha pata maujuzi yake ?? chief_ mkwawa
Hiyo ni app inaitwa psyphon nadhani ni km VPN unai download playstore but speed yake bora kobe ana afadhali lkn pia uwe unatumia halotel zen mwishowe jiandae kuharibu line yako over.
 
Hapana situmii hizo, kuwa tu makini na matapeli.
Mkuu km itakupendeza naomba unipe muongozo jinsi ya ku set data flow kwenye simu yng mana nimekimbia Airtel nmekuja voda bado data zinakimbia sn, nmejiunga gb 1 cja download chochote wala kuingia popote zaidi ya Jf lkn gb 1 imebaki mb 500 for only two hours.

Km tatizo ni mtandao basi nishauri niende wapi, je ttcl vp, msaada mkuu.
 
Mkuu km itakupendeza naomba unipe muongozo jinsi ya ku set data flow kwenye simu yng mana nimekimbia Airtel nmekuja voda bado data zinakimbia sn, nmejiunga gb 1 cja download chochote wala kuingia popote zaidi ya Jf lkn gb 1 imebaki mb 500 for only two hours.

Km tatizo ni mtandao basi nishauri niende wapi, je ttcl vp, msaada mkuu.
Kwa speed/kifurushi ratio Halotel wapo vizuri, 3GB kwa 3000 wiki mbili.

Kuhusu voda na kula mb hio ni kawaida mtandao ukiwa faster,

Jaribu kutumia go/mini/lite apps. Hizi zimetengenezwa kula data kidogo.

Mfano browser tumia opera mini/touch, Instagram go, Facebook lite etc.

Pia Angalia backup na vitu vyengine vinavyo sync, mfano Google photo ama whatsapp kama umeweka auto backup zitakula mb mara kwa mara.

Simu zinakuja na built in data analyzer, jaribu kucheki kitu gani kimekula sana mb?
 
Back
Top Bottom