Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Mambo iko huku
Screenshot_20210821-090629.jpg
 
Airtel tafuta kifurushi cha siku kisha saka cha usiku hapo. Ni 1500
Mambo yamezidi kuwa ovyo !
TTCL baada ya kuiondoa toboa tobo wameona haitoshi sasa wameiondoa na "bandika bandua"
kweli nyumbani kumedoda.

Mwenye option ya data bundle iliyoshiba kwa reasonable price Masada tafadhali
 
Mambo yamezidi kuwa ovyo !
TTCL baada ya kuiondoa toboa tobo wameona haitoshi sasa wameiondoa na "bandika bandua"
kweli nyumbani kumedoda.

Mwenye option ya data bundle iliyoshiba kwa reasonable price Masada tafadhali

Aisee wamepita nacho kimya kimya
 
Vifurushi vya voda vina badilika badika sana leo unakuta vizuri ukijiunga mara 3 au 5 wanavibadilisha voda wanakutamanisha hasa laini ikiwa mpya ama ukiwa hujaweka vocha au kujiunga vifurushi kwa mda mrefu
Harafu vifurushi vyao havieleweki unakuta huyu ana vifurushi hivi na mwingine vile yaani hawana
 
Vifurushi vya voda vina badilika badika sana leo unakuta vizuri ukijiunga mara 3 au 5 wanavibadilisha voda wanakutamanisha hasa laini ikiwa mpya ama ukiwa hujaweka vocha au kujiunga vifurushi kwa mda mrefu
Harafu vifurushi vyao havieleweki unakuta huyu ana vifurushi hivi na mwingine vile yaani hawana
Hivyo ni sawa na vya Tigo "size yako" unachotakiwa mtu ni kuwa tu na line za Kutosha, line 1 ya internet na 2 main line. Unahama mtandao wa Internet kulingana na uzuri wa vifurushi.
 
Mambo yamezidi kuwa ovyo !
TTCL baada ya kuiondoa toboa tobo wameona haitoshi sasa wameiondoa na "bandika bandua"
kweli nyumbani kumedoda.

Mwenye option ya data bundle iliyoshiba kwa reasonable price Masada tafadhali
Kuna muda huwa najiuliza hivi hawa jamaa huwa wanafikiri kwa akili hizi hizi tulizonazo au wenzetu wana akili tofauti na tulizonazo.. yaani hata hawashtuki..
 
Back
Top Bottom