Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vodacom ukiwasusa. Ukaacha kuitumia laini yao huwa wanakupa vifurushi vizuri. Jifunze kuweka akiba ya laini.
Hakuna mtandao unaowapenda wateja wao.
Unatakiwa uwe na laini moja ya mawasiliano
Na laini zaidi ya 5 kwa ajili ya internet. Ikizingua, unaweka laini kwenye droo. Siku mambo yakiwa fresh unarudi tena.
Huwa ndiyo tunafanya hivyo. Mm laini zangu za Tigo 2 nimeweka kwenye droo.
Dah nilishavunja mkuu toka Jana ..nimesajili airtel hapa muda siyo mirefu
 
Vodacom ukiwasusa. Ukaacha kuitumia laini yao huwa wanakupa vifurushi vizuri. Jifunze kuweka akiba ya laini.
Hakuna mtandao unaowapenda wateja wao.
Unatakiwa uwe na laini moja ya mawasiliano
Na laini zaidi ya 5 kwa ajili ya internet. Ikizingua, unaweka laini kwenye droo. Siku mambo yakiwa fresh unarudi tena.
Huwa ndiyo tunafanya hivyo. Mm laini zangu za Tigo 2 nimeweka kwenye droo.
Dah hahahaha eti kuweka kwenye ndoo. Siku wakirudisha na renew nasema nimepoteza ila washenzi sana hawa jamaa
 
Wakuu mtandao gani wanatoa night pack bundle nono?, mana naona airtel wameweka mb 375 kwa 500 tu.
 
Mambo yamezidi kuwa ovyo !
TTCL baada ya kuiondoa toboa tobo wameona haitoshi sasa wameiondoa na "bandika bandua"
kweli nyumbani kumedoda.

Mwenye option ya data bundle iliyoshiba kwa reasonable price Masada tafadhali

TTCL kuna tatizo kwenye system. Wanaendelea kulishughulikia. Kuwa na subira
 
Mambo yamezidi kuwa ovyo !
TTCL baada ya kuiondoa toboa tobo wameona haitoshi sasa wameiondoa na "bandika bandua"
kweli nyumbani kumedoda.

Mwenye option ya data bundle iliyoshiba kwa reasonable price Masada tafadhali
Mmi mwenyewe nilikua mdau bandika bandua na toboa pack, sasa line nimeipumzisha.
 
P
Hii ni thread ya vifurushi ambavyo sio rasmi kama vya chuo au vifurushi maalum ambavyo vinatoa kiasi kikubwa cha internet, nitalist vifurushi ninavyovifahamu kama kuna wanaojua vyengine watasaidia

Tigo
Kwa Tigo bonyeza *147*00# kisha chagua size yako, unaweza kupata vifurushi vizuri, Ila njia hii sio reliable kwani vifurushi hivyo hubadilika kila Mara.


Vodacom
Vodacom angalia kwenye ya kwako tu, piga *149*03# kuangalia ofa.

Airtel
[
Halotel
-Royal bundles pengine kifurushi kizuri zaidi kwa Sasa kinakupa dakika takriban 200 na Internet unlimited kwa 0.5mbps kwa mwezi mzima. Ni vyema kwenda ofisi za Halotel na kununua line ya Royal bundle, pia unaweza kukuunga kwa kubonyeza menu yao ya *148*66#

-Mega bundle kwa shilingi 10,000 Unapata GB 15 ambazo unatumia mb 500 kila siku kwa mwezi, kujiunga ni *150*88#, unakiunga na salio la halopesa.

-Kifurushi Cha usiku kwa 1000 unapata Internet unlimited, kizuri kwa ajili ya kudownload files kubwa Kama games na movies. Kujiunga *148*66# kisha vifurushi maalum (ya kwako tu)

vifurushi vya 4G kuendana na line zao mpya za 4G,
1000 unapata GB 1 kwa siku
5000 unapata GB 7 kwa wiki
10,000 unapata GB 10 kwa mwezi.


TTCL
-bandika bandua ni vifurushi vizuri kwa matumizi makubwa Kama kuangalia Netflix, zipo option Kama
-1000 GB 4 kwa siku (Mb 500 mchana 3.5GB usiku)
-2500 GB 10 kwa siku
-5000 GB 8 kwa wiki (3gb mchana na 5GB usiku)
Uzuri wake ni kwamba GB za usiku zinaanza saa 2 usiku muda mzuri ambao watu wanaangalia movies baada ya kutoka makazini.

-Toboa Night navyo ni vifurushi vizuri vya usiku in case Halotel kwako inasumbua ama Haina speed, kwa 500 unapata GB 2 na 1000 unapata GB 10.

Vyote toboa na bandika bandua unajiunga kwa kubonyeza *148*30# kisha TTCL bundles.

-Ofa maalum, pia TTCL Wana ofa mbalimbali Kama vile za sabasaba, nanenane etc ambazo wanazieka kwenye option ya vifurushi maalum,


Remote[/B][/B][/B]
Pamoja sana mkuu
 
Jana nilikuwa naangalia line zangu zote, na nimeona kuwa wamebadili vifurushi vya Internet kimya kimya. Hiyo ni Tigo, Airtel, nadhani Zantel, TTCL vifurushi vya kipuuzi kabisa yani huwezi amini vifurushi vya Vodacom ni bora kuliko vya hawa.
Airtel wamezidi, yaani 1GB kwa TSH 2000.
 
Back
Top Bottom