vampire123
JF-Expert Member
- Apr 17, 2016
- 1,310
- 865
Alafu anakuja kukutangaza we ni tapeliKuna watu sio waungwana humu, unamuunga kifurushi anasema hana hela halafu anakublock.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu anakuja kukutangaza we ni tapeliKuna watu sio waungwana humu, unamuunga kifurushi anasema hana hela halafu anakublock.
Watanzania bwana hebu mtaje huyu muhuniKuna watu sio waungwana humu, unamuunga kifurushi anasema hana hela halafu anakublock.
Simjui jina mkuu.. Nina namba Zake tuWatanzania bwana hebu mtaje huyu muhuni
Simjui jina mkuu.. Nina namba Zake tu
Mimi piaNinahitaji vifurushi vya data tu. Naweza pata?
Mkuu naendelea kuenjoy huduma yako ya free call na gb leo ndo kitajirudia cha gb nasubir masaa tu hv ni lazima kuwe na salio la Tsh 1000 linakuwa kweny tigo pesa au salio la kawaida ??Free call tigo kwenda mitandao yote ipo kwa miaka 2 nipm nikuunge Bei inazungumzika,[emoji118][emoji118][emoji118][emoji118][emoji118]malipo baada ya kazi
Vocha ili mradi tu uwe umeshatumia siyo lazima iwe siku hyo yaan Kama umeshaweka vocha siku nyingne umeshamaliza mkuu subr mda tu utapata GB zakoMkuu naendelea kuenjoy huduma yako ya free call na gb leo ndo kitajirudia cha gb nasubir masaa tu hv ni lazima kuwe na salio la Tsh 1000 linakuwa kweny tigo pesa au salio la kawaida ??
Mkuu bado kipoo?GB 10 + DK 1000 KWA 20,000
GB 20+DK 1000 KWA 25,000
GB 30+ DK 1000 KWA 30,000
GB 40+ DK 1000 KWA 40,000
GB 60+ DK 1000 KWA 45,000
NB: HIZI DAKIKA NI KWA MITANDAO YOTE BILA SMS
(VODACOM ONLY)
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Acha kuwadanganya watu kakaJipatie bando bure kwa watumiaji wa vodacom, airtel, halotel na Tigo bonyeza *33*0000# alafu ok utajipatia GB 10 papo hapo.
Acha kuwadanganya watu kaka
Mkuu nakuomba inbox na mm nataka kuungwaSawa mkuu
Ni bei ganNpo pm.
Naweza pataa?Halotel za offer hakuna kwa sasa.
Zinazopatikana ni Tigo tu labda na voda ila kwa shida.
Wewe inafanya kazi?Umejaribu ukakuta hakifanyi kazi mkuu...?
Hii inafanya kazi kweli kama alivootuambia au ni uongo wa kujikuta umekopaJipatie bando bure kwa watumiaji wa vodacom, airtel, halotel na Tigo bonyeza *33*0000# alafu ok utajipatia GB 10 papo hapo.
Wewe inafanya kazi?
#33*0000#Jipatie bando bure kwa watumiaji wa vodacom, airtel, halotel na Tigo bonyeza *33*0000# alafu ok utajipatia GB 10 papo hapo.
Mwongo tu huyo *33*0000# hyo ni call bearing enabledHii inafanya kazi kweli kama alivootuambia au ni uongo wa kujikuta umekopa